Hello

Hello

Kuna kitabu nasomakinaitwa uncommon woman

Kimenifundisha kitu kikubwa juu ya maisha

Furaha inarejea kwa kasi

Don't let anyone tell you what to do when to do etc

Halafu punguza trust kwa watu
hata mumeo asikwambie?
 
Kuna kitabu nasomakinaitwa uncommon woman

Kimenifundisha kitu kikubwa juu ya maisha

Furaha inarejea kwa kasi

Don't let anyone tell you what to do when to do etc

Halafu punguza trust kwa watu
Itabidi unitumie copy pm nikisome, hapo kwenye trust ndo penyewe umeongelea, unamuamini huyu mtu mzima kama baba yangu hawezi nifanyia tofauti mimi mwanae natafuta, huyo huyo anakupiga mpunga.

Binadamu tumekuwa wa ajabu sana.
 
hata mumeo asikwambie?

Anakushauri tu
Unaweza ukaupokea ama ukaukataa

Maisha ni yako mwenyewe, mume ama mke nae ana yake, ndo maana utakuta mtu anaendeleza ndoto za maisha yake, japokuwa huwa zinapambwa kama ndoto za maisha yetu "

Ila kiuhalisia ni ndoto za mmoja wapo
 
Itabidi unitumie copy pm nikisome, hapo kwenye trust ndo penyewe umeongelea, unamuamini huyu mtu mzima kama baba yangu hawezi nifanyia tofauti mimi mwanae natafuta, huyo huyo anakupiga mpunga.

Binadamu tumekuwa wa ajabu sana.

Nimekutana na mambo mengi sana

Nimejifunza kutokumpa mtu nafasi ya kumwamini
 
Itabidi unitumie copy pm nikisome, hapo kwenye trust ndo penyewe umeongelea, unamuamini huyu mtu mzima kama baba yangu hawezi nifanyia tofauti mimi mwanae natafuta, huyo huyo anakupiga mpunga.

Binadamu tumekuwa wa ajabu sana.
Sugar daddy kakuwahi tena? mh!Tafuta masugar daddy wa ukweli siyo wapiga mizinga cc Sugar dady
 
Katika hayo unayopitia ulishawahi kuwaza au kutamani ulale usiamke tena, ulale usingizi wa milele? au ushawahi jifungia ndani siku nzima unalia?

Kitabu nimeshindwa
Umeona pm?
 
Back
Top Bottom