Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😂😂😂karibu tuunge juhudi mkuuUjue mane wewe ni mwanamke mwenye nyota ya pekee, sijui kwa kua jina lako linaanza na pesa maana kila nikikupa like lazima kesho yake niokote pesa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂karibu tuunge juhudi mkuuUjue mane wewe ni mwanamke mwenye nyota ya pekee, sijui kwa kua jina lako linaanza na pesa maana kila nikikupa like lazima kesho yake niokote pesa
Rafiki kwani bado unavuta?[emoji44][emoji44][emoji44]Rafiki mimi navuta nyota, rudisha urafiki wetu tupendane na kuaminiana tena.
Utaishije bila kuwa na mtu wa kumuaminiNimekutana na mambo mengi sana
Nimejifunza kutokumpa mtu nafasi ya kumwamini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]karibu tuunge juhudi mkuu
Hapana, ni biashara siyo hayo unayosema.Sugar daddy kakuwahi tena? mh!Tafuta masugar daddy wa ukweli siyo wapiga mizinga cc Sugar dady
Utaishije bila kuwa na mtu wa kumuamini
Matatizo yapo na yataendelea kuwepo tusiipe nafasi dhambi moja kuzuia baraka nyingine amini usiamini watu wema na waaminifu wapo na bado wanapatikana katika sayari hii tuishiyo bila kujali wana uchache wa kiasi gani
Kuna kipindi nilikua namlilia Mungu kwa nini Sina marafiki
Akanipa mmoja ameninyoosha nimekoma
Ngoja nilale unanikumbusha machungu.
kwa hiyo unashauri nijiue mkuu? embu saidia njia rahisi sana, maana tupo wawili hapa.wewe uliwaza tu, wengine walijaribu hata kujiua kabisa...
Kujifungia siku nzima unalia, wapi waliolia wiki nzima,.
Dunia hii kuna watu wanapitia magumu...
Btw, inaonekana ni serious issue mpaka ukaona MMU hapatoshi mpaka kuweka uzi HHM.... Pole
Ok nashukuru kwa kunielewesha. Pole sana once again.Ni tapeli hilo itakuwa.Hapana, ni biashara siyo hayo unayosema.
Na mimi kama hutojali. Naomba soft copy ya hicho kitabu bimkubwa Hornet.Kitabu nimeshindwa
Umeona pm?
Nasubiria akujibu....[emoji39] [emoji39] [emoji39]Rafiki tatizo huna chura!
Akikujibu unitag...[emoji39] [emoji39] [emoji39]Rafiki ushawahi niona?
[emoji2089][emoji2089][emoji2089]Huyo huyo
Yepi tena amu!Hivi ni mimi nayepitia haya au kuna wenzangu?
Na mimi kama hutojali. Naomba soft copy ya hicho kitabu bimkubwa Hornet.
Natoa nafasi za upendeleo, kwa mtu mwenye dukuduku lolote linalomsumbua awe anakuja pm kufunguka ajisikie huru kabisa.Mbona naishi
I trust nobody
Hata mume wangu simwamini.
Kuna mambo yakinikuta huwa naandika mahali, kisha na choma karatasi inakuwa imepita.