Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Kutiana nuksi tu mwisho wa mwaka....
Hivi ni mimi nayepitia haya au kuna wenzangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi ni mimi nayepitia haya au kuna wenzangu?
Niseme tu nimemiss uwepo wako mkuuKiranga kikakuisha eeeh
Vumilia mama haya yapo kila upande, juzijuzi mie wameniliza japo pesa kidogo ila iliniuma.Tumekuwa watu wa ajabu ajabu sana, utapeli, kudhurumiana, kutojaliana, kufurahia mwenzako kuwa na matatizo shida, wizi yaani mambo ya ajabu.
Mtu unayesoma huyu ni wangu nifunguke kwake tutashare mawili matatu , unaishia kupata disappointments tu.
Maandiko yanasema tusamehe saba mara sabini.Kweli mkuu, pesa ni shetani aliyetengenezwa na mwanadamu.
Pesa ndo chanzo cha maovu hapa duniani ikifuatia mapenzi.
Bora turudi kwenye barter trade.
Niseme tu nimemiss uwepo wako mkuu
Natoa nafasi za upendeleo, kwa mtu mwenye dukuduku lolote linalomsumbua awe anakuja pm kufunguka ajisikie huru kabisa.
Ebu tupia picha yako hapa akuone maana inaonekana rafiki huyo jamaa anakuchukulia poa!!Rafiki ushawahi niona?
Ahsante mama natamani kuwa kama wewe shida nina moyo wa upendo mno, ninajali sana ila ndo hivo mambo yanakuwa ovyo kwangu.Mbona naishi
I trust nobody
Hata mume wangu simwamini.
Kuna mambo yakinikuta huwa naandika mahali, kisha na choma karatasi inakuwa imepita.
We jamaa makuzi sana, sometimes unafanya nione jf ni sehemu ya vichekeshoRafiki tatizo huna chura!
Hata wewe mkuu ?Nipo mkuu. Simu inazingua ndo maana mahudhurio hafifu
Huo moyo wako wa upendo usiuache rafiki wengine bado tunauhitaji sanaAhsante mama natamani kuwa kama wewe shida nina moyo wa upendo mno, ninajali sana ila ndo hivo mambo yanakuwa ovyo kwangu.
Natamani niwe na moyo kama huo, may be ndani ya hii post nitajifunza.
MamiiMmmh hapana
I would rather talk to the moon [emoji287]!
Pole sana mkuu nilihisi kaisari amebana sanaNipo mkuu. Simu inazingua ndo maana mahudhurio hafifu
Hata wewe mkuu ?
Korosho zinachukuliwa kwa mkopo. serikali yetu ni nyosoooooVP hujauza korosho??
Pole sana mkuu nilihisi kaisari amebana sana