Mhadzabe
JF-Expert Member
- May 20, 2009
- 3,236
- 4,746
Karibu sana majirani wa hapa ni wachonganishi na pia wagomvi. Ukitaja kwenda gengeni pita barabara ya kusini-Mashariki angalia usipite Katikat ya bustani ya HAMY-D, wala karibu na geti la ZeMarcopolo na chama utajuta maana utapata matusi na Mipasho ya mkigoma na Faiza fox! Ni afadhali umwombe Pasco amshawishi sweeti lady akusindikize kupitia kwa Mzee Mwanakijiji.
Yakikushinda hayo mpigie simu Arushaone ili amwambie Mwita Maranya amwombe nduguye mohamed mtoi aje na taxi ya kukupeleka huko, mana njiani kuna vibaka hatari ingawa kuna walinzi mahili kama Paw na wengine are Invisible
Yakikushinda hayo mpigie simu Arushaone ili amwambie Mwita Maranya amwombe nduguye mohamed mtoi aje na taxi ya kukupeleka huko, mana njiani kuna vibaka hatari ingawa kuna walinzi mahili kama Paw na wengine are Invisible
Last edited by a moderator: