bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,873
Najitolea kumpa ushauri nasaha na kumpiga injili ili aweke kwenye matendo huu ushauri mwanana wa Shemeji.La sivyo hata akipata mpenzi mwingine wa 'kumuoa' halafu ukiingia kwenye ndoa na upupu huu utawashwa na itakuwa ndoa ndoano.
sawa. but tell me did u receive the green mangoes nilizomwachia hausi boi wenu jana? huko kliniki inaelekea kuna watu kibao, umechelewa ZD!! Badili uwe unaenda agha khan