"Help! I'm Trapped In a Relationship I Don't Want to Be In!"

"Help! I'm Trapped In a Relationship I Don't Want to Be In!"

Yaani kwa simpo kalkulesheni kila unapokunywa bia tatu bilioneaz klub unakuwa umemwaga bia moja zero pub!
I.e Bia 3 bilioneaz = bia nne Zero pub = bia nne CHAWOTE + 400 za soda ya ELIZAAAZ!

Chawote + Zero are there to STAY!

Msasha you are such cost conscious!! Hizo kalkulesheni zinauwa!!! sasa msasha Eliza hanywi heneken?
 
Mambo matamu matamu yapo CHAWOTE bana njoo upate supu ya kuku wa kienyeji tena unamchagua mwenyewe kwenye banda kisha anaenda kuchinjwa ndani ya nusu saa supu nzito inakuwa tayari unaletewa kwenye hot pot ndo maana Geoff hataki kuhama Chawote.
HAPA HATA KWA BUNDUKI!uwanja wa nyumbani ule!staili ya jumamosi iliyopita ilikuwa ni kulipia kreti na kumhire mhudumu mmoja kwa ajili yetu tu!dah!papaa fidel una mikwara kaka
 
hahahahahaha!
haya mwanasayansi!
kamata senksi kwenye post husika NA NYINGINE HAPA:
SENKSI

Hahaha! Nimeona Senksi za wapiganaji wa4 mahiri kwenye ile posti yenye kalikulesheni! Nami nawagongeeni kwa hapa; SENKSI!
 
ilikuwa ni kulipia kreti na kumhire mhudumu mmoja kwa ajili yetu tu!dah!papaa fidel una mikwara kaka

Hivi umesahau nililipia creti 2 uliona Ponjoro man alivyo milika dimba la kuongea baada ya vitu kukolea.
 
Hivi umesahau nililipia creti 2 uliona Ponjoro man alivyo milika dimba la kuongea baada ya vitu kukolea.

hahaha!nilikubali!nadhani hii staili ya kununua kreti tutaijadili na wapwaaz(PILLERZZ) tuone kama tutaweza kuiapply!inalipa sana.
 
hapa hata kwa bunduki!uwanja wa nyumbani ule!staili ya jumamosi iliyopita ilikuwa ni kulipia kreti na kumhire mhudumu mmoja kwa ajili yetu tu!dah!papaa fidel una mikwara kaka

hivi umesahau nililipia creti 2 uliona ponjoro man alivyo milika dimba la kuongea baada ya vitu kukolea.
hahahaaaaaa, mzee kimya kimya!!!!.
 
Msasha you are such cost conscious!! Hizo kalkulesheni zinauwa!!! sasa msasha Eliza hanywi heneken?

Akiomba heinneken mtarimbo unalala dodo anakula disco, inakuwa history! Mi mwenyewe sijui testi ya bia inayouzwa zaidi ya 1500! Anakula banta kwa wingi au Kilimanjaro siku wapwa wakija na wakahitaji huduma ya kusindikizwa maliwatoni a.k.a msalani!
 
Hahahahaha mpwa vp nasikia shughuli ya juzi ilikufanya jana usiamke kabisa hahaha


hahah wacha mkuu si tulishindwa wenyewe pale! ila jana nimeamka sana tu sema majukumu!
 
Akiomba heinneken mtarimbo unalala dodo anakula disco, inakuwa history! Mi mwenyewe sijui testi ya bia inayouzwa zaidi ya 1500! Anakula banta kwa wingi au Kilimanjaro siku wapwa wakija na wakahitaji huduma ya kusindikizwa maliwatoni a.k.a msalani!
anaza SENKSI!kamata hii:
SENKSI
 
hahahaaaaaa, mzee kimya kimya!!!!.

Mzee mbona nilikushtua mapema ulisema utanijulisha lakini siku ilipo fika nikaona kimyaa nikajua kama kawa bado una confess kwa shemu nikaona bora nisikubugudhi
 
Wewe unapenda pesa humpendi mtu. Kama kweli hapo pana mapenzi inakuwaje unasema unampenda ilhali unaona hakuna future? Au wewe unapenda fimbo ya kuazima tu na uko tayari chochote kifanyike ilimradi unapata pesa uipendayo. Mawazo ya kale hayo kwamba hapendwi mtu. Unashindwaje kumwacha naye amekuambia wazi. I like that gentleman ambaye hakujitafuna amekupa live uchague kusuka au kunyoa. Tutakushauri nini nawe umesema unampenda? msomeshe basi ajue kwamba sio wachaga wote wanafanana. Babu yake alifanyiwa nini na wachaga hata atoe kiapo kile? Hakulaani bure, alilaani alichofanyiwa na mchaga. Uliza ujue.

Leka
 
Back
Top Bottom