Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,240
Hapa kazi ipo leo,hizi ofutopik! mhh,
No comment!
No comment!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kwa simpo kalkulesheni kila unapokunywa bia tatu bilioneaz klub unakuwa umemwaga bia moja zero pub!
I.e Bia 3 bilioneaz = bia nne Zero pub = bia nne CHAWOTE + 400 za soda ya ELIZAAAZ!
Chawote + Zero are there to STAY!
HAPA HATA KWA BUNDUKI!uwanja wa nyumbani ule!staili ya jumamosi iliyopita ilikuwa ni kulipia kreti na kumhire mhudumu mmoja kwa ajili yetu tu!dah!papaa fidel una mikwara kakaMambo matamu matamu yapo CHAWOTE bana njoo upate supu ya kuku wa kienyeji tena unamchagua mwenyewe kwenye banda kisha anaenda kuchinjwa ndani ya nusu saa supu nzito inakuwa tayari unaletewa kwenye hot pot ndo maana Geoff hataki kuhama Chawote.
dah, I guess wewe ni Injinia.
oya vipi?Hapa kazi ipo leo,hizi ofutopik! mhh,
No comment!
sasa msasha Eliza hanywi heneken?
hahahahahaha!
haya mwanasayansi!
kamata senksi kwenye post husika NA NYINGINE HAPA:
SENKSI
ilikuwa ni kulipia kreti na kumhire mhudumu mmoja kwa ajili yetu tu!dah!papaa fidel una mikwara kaka
Si SAWAAAA!🙄
Hivi umesahau nililipia creti 2 uliona Ponjoro man alivyo milika dimba la kuongea baada ya vitu kukolea.
hapa hata kwa bunduki!uwanja wa nyumbani ule!staili ya jumamosi iliyopita ilikuwa ni kulipia kreti na kumhire mhudumu mmoja kwa ajili yetu tu!dah!papaa fidel una mikwara kaka
hahahaaaaaa, mzee kimya kimya!!!!.hivi umesahau nililipia creti 2 uliona ponjoro man alivyo milika dimba la kuongea baada ya vitu kukolea.
Msasha you are such cost conscious!! Hizo kalkulesheni zinauwa!!! sasa msasha Eliza hanywi heneken?
halafu wewe kaizer,Si SAWAAAA!🙄
Hahahahaha mpwa vp nasikia shughuli ya juzi ilikufanya jana usiamke kabisa hahaha
halafu wewe kaizer,
leo tunaongozana maeneo!
anaza SENKSI!kamata hii:Akiomba heinneken mtarimbo unalala dodo anakula disco, inakuwa history! Mi mwenyewe sijui testi ya bia inayouzwa zaidi ya 1500! Anakula banta kwa wingi au Kilimanjaro siku wapwa wakija na wakahitaji huduma ya kusindikizwa maliwatoni a.k.a msalani!
hehehehe!wewe banaPoa mpwa tukamalizie juzi si unajua tulishindwa? kichagga tunaita ngera ile!
hahahaaaaaa, mzee kimya kimya!!!!.