Najitolea kumpa ushauri nasaha na kumpiga injili ili aweke kwenye matendo huu ushauri mwanana wa Shemeji.La sivyo hata akipata mpenzi mwingine wa 'kumuoa' halafu ukiingia kwenye ndoa na upupu huu utawashwa na itakuwa ndoa ndoano.
Nilikua kule kwa jamaa mmoja amekuja na uzi wa marrying a chagga, yaani amenichefua ningekua na mimba ingetoka. naomba kuuliza chawote Bar iko wapi? nataka tu nitie timu one day!! hope I will see you all there!
Hahahaha! Thats my Mshiki! CHAWOTE siyo? Nyumbani kwa fidel uneyemwogopa? Haya bana! Hehehe! Kichefuchefu kinatoa mimba? LOL! Ahsante Mungu kwa kuniumba mwanaume!
mbona hamjibu maembe nilimwachia housi boi wenu mliyapata????
aga khan ndo noma, kuna foleni huko, si unajua tena wake za macorporate people kama nguli wote wanatia timu huko, acha kabisa tafuta sememu nyingine, ntakupm aha ahahaaaaaa, xpin bwana ushaleta matatizo sasa hata klinik bora hatujajua ni wapi.sawa. but tell me did u receive the green mangoes nilizomwachia hausi boi wenu jana? huko kliniki inaelekea kuna watu kibao, umechelewa ZD!! Badili uwe unaenda agha khan
Hahahahaa,nadhani hausigeli aliyafanyia mnada ,mie sikuyaona.ungeingia mwenyewe kuyaleta ndani dear,but thanks utuletee tena .sawa. but tell me did u receive the green mangoes nilizomwachia hausi boi wenu jana? huko kliniki inaelekea kuna watu kibao, umechelewa ZD!! Badili uwe unaenda agha khan
Hahahaha! Thats my Mshiki! CHAWOTE siyo? Nyumbani kwa fidel uneyemwogopa? Haya bana! Hehehe! Kichefuchefu kinatoa mimba? LOL! Ahsante Mungu kwa kuniumba mwanaume!
Binamu, consult magazeti ya leo, valeur fake kontena kibao zimeingia nchini pamoja na grants, so kazi kwenu wazee wa viti virefu. I ma serious stukeni wapwa.Ingekuwa valeur au serengeti ningeulizia! Embe sikumbuki nimekula mara ya mwisho lini.
aga khan ndo noma, kuna foleni huko, si unajua tena wake za macorporate people kama nguli wote wanatia timu huko, acha kabisa tafuta sememu nyingine, ntakupm aha ahahaaaaaa, xpin bwana ushaleta matatizo sasa hata klinik bora hatujajua ni wapi.
aga khan ndo noma, kuna foleni huko, si unajua tena wake za macorporate people kama nguli wote wanatia timu huko, acha kabisa tafuta sememu nyingine, ntakupm aha ahahaaaaaa, xpin bwana ushaleta matatizo sasa hata klinik bora hatujajua ni wapi.
Ingekuwa valeur au serengeti ningeulizia! Embe sikumbuki nimekula mara ya mwisho lini.
Msasha Fidel hapana!!!! Huko siwezi tia timu tena!! Fidel No!! Karibuni Billonaires club one weekend. mbili mbili sio Mbaya.
ilikuwa kaazi kweli kweli!Hahaha! Nasikia tukutuku lilirudi mkwa rivasi mpaka hommy!
mpwaaz mlete mtoto chawote!jamaa alistaafu!Hilo jina linatisha! Bia shingapi hapo? Valeur zipo?
Nilikua kule kwa jamaa mmoja amekuja na uzi wa marrying a chagga, yaani amenichefua ningekua na mimba ingetoka. naomba kuuliza chawote Bar iko wapi? nataka tu nitie timu one day!! hope I will see you all there!
Binamu, consult magazeti ya leo, valeur fake kontena kibao zimeingia nchini pamoja na grants, so kazi kwenu wazee wa viti virefu. I ma serious stukeni wapwa.
we sema lini ViVian halafu ndo utajuwa umoja wetu ulivo. Usipime, utapata ushauri zaidi ya ushauri. Muulize binamu bht, carmel, shemeji yangu ZD na wengineo!
tena hizi feki ndio zinatafutwa maanake ZINA STIMU ZA KUFA MTU!mamaa la kemo hebu soma hilo jarida useme ni wapi watakuwa wanazichoma niende!Hahaha! Usijali binamu, wengine tumeshakuwa adikted kiasi kwamba hata kitu feki kinaonekana fresh with TBS approval kwa stomach!
mpwaaz mlete mtoto chawote!jamaa alistaafu!