Hepi basidei

Hepi basidei

Aiseee tumezila na maembe prmary hizi kitu mpaka basi
Yaani wewe ni primary??? Kweli kadogo.
Mimi nimezinywa secondary..
Makande na juice pembeni[emoji23][emoji23]
IMG_20190823_105051_833.jpeg
 
Yaani wewe ni primary??? Kweli kadogo.
Mimi nimezinywa secondary..
Makande na juice pembeni[emoji23][emoji23]View attachment 1188159
Kama ulikua form one mm lasaba, kama nilifeli nikarudia, kama nilipita memkwa???
Btw nimepata madem sana ajili ya kwenda na hizo juice shuleni (nilikua naiba dukani kwetu)
 
Happy bday mkuu...

Uwe na miaka michache ya starehe na furaha, kuishi sana ni uoga wa kifo.

Waangalie kwa jicho la tatu wanaokutakia maisha marefu sio watu wazuri kwako
 
Happy bday mkuu...

Uwe na miaka michache ya starehe na furaha, kuishi sana ni uoga wa kifo.

Waangalie kwa jicho la tatu wanaokutakia maisha marefu sio watu wazuri kwako
hahaha


Logic braza logic
 
Kama ulikua form one mm lasaba, kama nilifeli nikarudia, kama nilipita memkwa???
Btw nimepata madem sana ajili ya kwenda na hizo juice shuleni (nilikua naiba dukani kwetu)
Wakishua hawazijui hizi

Hizi ni zetu magangsta
 
Back
Top Bottom