Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 20,178
- 39,641
- Thread starter
- #81
Asante sana sisyBaba Swalehe hongera sana...nimefurahi mama kapata wa kusherehekea naye.....
Mungu akupe maisha marefu na matamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana sisyBaba Swalehe hongera sana...nimefurahi mama kapata wa kusherehekea naye.....
Mungu akupe maisha marefu na matamu.
Mazoea !Mwanao unamuita fala kweli?
HBD Mungu akupe hekima na busara.
Naanzaje kutotokea jamani naingia jf nimeanza na weweNlkua nawaza kweliiiii
Yaani hii sherehe ingeharibika bila wewe kutokea
[emoji28][emoji28][emoji28]
Eeeh wacha weeNaanzaje kutotokea jamani naingia jf nimeanza na wewe
Thanks chiefHongera ya kumbukizi....
Happy belated birthday!Dah leo asubuhi nmeamka nashangaa nmechorwa chorwa usoni na huyu swalehe kumbe basidei yangu bhana dah ndo nkakumbuka yaani hili toto kanipaka paka mi colgate usoni yaani aisee
Miaka inazidi kusonga , milima ni mingi sana aisee ila Mungu anatushindisha na zaidi ya kushinda
Wana harakati wenzangu wa maisha tuendelee kuzichanga karata zetu vyema mazee , siku yaja sika yaja !!
Love myself I do. Not everything, but I love the good as well as the bad. I love my crazy lifestyle, and I love my hard discipline. I love my freedom of speech and the way my eyes get dark when I'm tired. I love that I have learned to trust people with my heart, even if it will get broken. I am proud of everything that I am and will become
Nimenunua chips ili nile kusheherekea basidei angu kwa bahati mbaya mtoto wa mama mwingine amekaa karibu na mimi akaanza kuzililia.imebidi nivae earphones,napenda watoto, ila utoto ndio sipendi..
You have to fight back, No matter what life throws back at you.
Love you all !!
Dah asante mkuu ingawa ndo ishapitaHappy belated birthday!
Watu wa mungu tunavyosherehekea basidei zetu
Maid: Please. What can we help you Sir..!
Me: Fantasize this Table with ten Fantastic FantasView attachment 1188126
Happy belated birthday!
[/QUOT
Poa ila sio ulevi wanguDah asante mkuu ingawa ndo ishapita
Uli miss soda
Aahahahahahaa kumbe ndo huuyuu
Nilimuona ilivyokuwa unazishambulia...Fanta 😆😆😆😆
Sio mimi huyu bhana
Hizi bethdei siku hizi hazina chipsi dume huwa hazitubariki kabisa wastaafu wa jumuiya ya Afrika Mashariki.
Ngoja nikafanye mapenzi na K Vant nijuie namna ya kukuwish pepi pesdei kibabe.
Hizi biashara za kuzaliwa weekend zina vishawishi na majaribu sana ya kumshinda shetani
Basi picha ako ni vile tuu hukunong’onezwa ukweli, sio kwa kufanana huku hehehehhee
Heri ya kuzaliwa, ulikufanikiwa kukata keki au kiepe ilitosha?
Zimebaki siku mbili za kufanya maombi na toba huku mlimani. Nikishuka huku nakushukia kama mwewe. Ole wako nikukute without... biology itatia timu moja kwa moja kwenye via vya uzazi... Kuna hatari nakatenda miujiza kama ya mzee Mengi....Basi picha ako ni vile tuu hukunong’onezwa ukweli, sio kwa kufanana huku hehehehhee
Heri ya kuzaliwa, ulikufanikiwa kukata keki au kiepe ilitosha?
😅😅 K vant sio nzuri dogo..huku kuna kinywaji maarufu sana kinaitwa SHIMHA😂😂😂😂...! nadhn kina alcohol mia .maana naona walevi wanateseka sana usoniKumbe manengelo ni dada? Ngoja nikafute toba zote. Kwenye ndoto siku zote nikajua namwibia Bashite wife wake...