Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikula keki mkuu usiku tulisong Ugali
Zimebaki siku mbili za kufanya maombi na toba huku mlimani. Nikishuka huku nakushukia kama mwewe. Ole wako nikukute without... biology itatia timu moja kwa moja kwenye via vya uzazi... Kuna hatari nakatenda miujiza kama ya mzee Mengi....
Wuuuhuuuuuu yeebaaah
Yaani nlivyo na kiiwii, usisahau kuja na swimming costume maana nimesubiri kwa kitambo kirefu sana maombi yaishe looh!!! At last....
Wee njoo bana ukikuta siko without ndo vizuri unaanza ukaguzi taratibu kona moja baada ya nyingine, hatua kwa hatua hehehehhee.
Umenipa mshawasha hehehehew nimejikuta nashangilia na kuanza kucheza....
For Only 5,000/= ha ha ha ha.Watu wa mungu tunavyosherehekea basidei zetu
Maid: Please. What can we help you Sir..!
Me: Fantasize this Table with ten Fantastic FantasView attachment 1188126
Jamani umenikumbusha huu wimbo form 2😅😅!miaka hyoooo..Mbeya 1 dadek
Hahahahhahaaa daah mie nilikuwa nshaanza machejo na maafande wa makuruta 🤪🤓
Yaani jana nimecheza mziki hadi miguu ikauma, nashangaa leo nna hamu tena....
Una raha...!nimemis hayo maisha..thou nilicheza last month had majogoo😂😂!niliugua siku 3...nimecheza had saa 10 saa12 nasafiri..khaa..! zamqn kulikua na bang za kikubwa had raha
Avatar ziendane na uhalisia jamaniMnachat wawili
Asante mkuuFor Only 5,000/= ha ha ha ha.
Happy birthday Mzazi wa Swalehe
[emoji28][emoji28]Zimebaki siku mbili za kufanya maombi na toba huku mlimani. Nikishuka huku nakushukia kama mwewe. Ole wako nikukute without... biology itatia timu moja kwa moja kwenye via vya uzazi... Kuna hatari nakatenda miujiza kama ya mzee Mengi....
Hahaha [emoji28]Ooh natumai haitakuwa mbaya nikipika keki ila ntaila mwenyewe, ntakuwekea picha tuu [emoji2956]
Huyu hapa mkuu ni zaidi ya msumbufuBaba swalehe.swalehe anahitaji mdogo wake sasa
Hahaha wimbo wa kifala sana huuWuuuhuuuuuu yeebaaah
Yaani nlivyo na kiiwii, usisahau kuja na swimming costume maana nimesubiri kwa kitambo kirefu sana maombi yaishe looh!!! At last....
Wee njoo bana ukikuta siko without ndo vizuri unaanza ukaguzi taratibu kona moja baada ya nyingine, hatua kwa hatua hehehehhee.
Umenipa mshawasha hehehehew nimejikuta nashangilia na kuanza kucheza....
Ph .... [emoji28]Jamani umenikumbusha huu wimbo form 2[emoji28][emoji28]!miaka hyoooo..Mbeya 1 dadek