Here is Everything you need to Know to Get Your First Job Offer on Upawork. Jifunze Hapa

Here is Everything you need to Know to Get Your First Job Offer on Upawork. Jifunze Hapa

Mkuu unaweza fungua account kwenye site nyingine kama Freelancer au Fiver au Guru au SEO Clerk

Shida siyo kuwa na account.

Wapo wengi tu na account zao UpWork miaka lakini hakuna client aliyejibu proposal zao.

Ukiwa na right skill to get attention of client you are good. Hata kama iwe jukwaa gani.

Baada ya siku chache nitakuja na proof kuonyesha it is possible to make money on Fiverr and Freelancer as well.

Pia nikukumbushe tu iwapo upo na high demand skills UpWork hawawezi kataa application yako.

Kuhusu ku-outsource kazi kwako?

That is very risk for me.

I don’t know your capabilities. I don’t know what skill set you have??

Mimi ni Over the Phone Interpreter, Voice Over Artist, Translator, Proof reader, Sale Writing expert.

Je, kuna skill set upo nayo hapo?

what's your email boss?
 
Upwork bwana nilijaribu kufungua account mwaka jana. Ila walikataa ku approve account. Nika edit twice still hawaku approve. Nikaachana nao.

Kabla ya hapo nilijiunga na Proz.com as a legal translator. Hadi leo hii clients huwa wananicheki kama niko available for their projects. Sema sijawahi kuwa serious nayo sana..so i never even reply their mails. Sometimes napewa translation job offer hadi za kizigua..ha ha ha.

Hili andiko lako limeniamsha na kunikumbusha kuwa kuna fursa ninazipuuzia but nikiwa serious naweza tengeneza pesa. I know a guy ambaye anaishi na familia yake just for doing translations online.
 
Job offers kama hizi nazipata sana. Nadhani sasa ngoja niweke mambo sawa ili nianze kuzifanyia Kazi.
 

Attachments

  • 20191007_125548.jpg
    20191007_125548.jpg
    47.1 KB · Views: 3
I made my first money as Online Freelancer in 2016.

I’m very good at selling.

Here am today. Sharing my experience with anyone who think its good for them.

Mtandaoni kuna pesa.

Inabidi uache woga na kuwa negative.

Stop thinking utakula bila kuliwa.

That one is not mine. It’s from President JK himself

It’s called win win situation.

Watu wengi hawataki kuwekeza pesa kidogo kujifunza knowledge mpya but they will spend hours trolling people on the internet.

It is shame. You know

Hebu nisaidie how does Shopify work ?
 
Upwork bwana nilijaribu kufungua account mwaka jana. Ila walikataa ku approve account. Nika edit twice still hawaku approve. Nikaachana nao.

Kabla ya hapo nilijiunga na Proz.com as a legal translator. Hadi leo hii clients huwa wananicheki kama niko available for their projects. Sema sijawahi kuwa serious nayo sana..so i never even reply their mails. Sometimes napewa translation job offer hadi za kizigua..ha ha ha.

Hili andiko lako limeniamsha na kunikumbusha kuwa kuna fursa ninazipuuzia but nikiwa serious naweza tengeneza pesa. I know a guy ambaye anaishi na familia yake just for doing translations online.

Hongera.

Hiyo ni experience poa sana.
 
Yes kidogo
Sasa nikishapata wateja payment ni via paypal?na je shipping who is responsible
Sorry kuna kitu bado sijakielewa kuhusu hii kitu

Mkuu huu uzi ni wa Online Freelancing.

Sorry sitoweza kujibu hapa
 
Kuwa Online Freelancing haimaanishai unaenda kuwa tajiri.

Lakini utaweza kutengeneza side income itakayokusaidia kulipia bills zako.

Online Freelancing inaweza fanywa na watu walio kwenye ajira tayari lakini wanatafuta source nyingine ya income.

Unarudi zako home baada ya kazi unapumzika kidogo halafu baada ya hapo unaingia mtandaoni unapiga kazi.

Ni njia nzuri sana yakukuza si tu kipato chako bali pia kunoa Skills zako
 
kwa miaka ya 'sasa' Upwork hawachukui tena, ila kuna 'loophole' katika mchakato wa kujisajili, unapenya na kua 'approved' ndani ya dk. 10 tu ( wahindi wamegeuza hii kua fursa ) , ila kiukweli Upwork siikubali wana fee kubwa mno

nipo active sana freelancer.com, guru na Fiver
Mkuu binafsi nipo freelancer.com but kuna kitu huwa kinanitia shaka na kazi ninazopataga. Yaani kuna kazi unaweza pewa na kuhitajika kulipia dollar kadhaa kama refundable fee kisha baada ya kazi ndipo unarejeshewa hicho kiasi. Vp mkuu kutokana na experience yako au kwa mtu yeyote hii kitu ya kulipia kwanza dollar kadhaa ndo upate kazi hiyo ukamilishe then ndo uje ulipwe ina uaminifu wowote maana katika tafuta zangu kuna bahadhi ya freelancer walikuwa wanalalamika kwa mfano kuna bahadhi katika platform ya Quora hii kitu wanaiona kuwa ni namna ya utapeli. Naomba muongozo kwa yeyote mwenye uzoefu na hili wakuu
 
kwawale dilaz wa microworkerz naomba msaada kwnye sms confirmation plz
 
Umeongeaa Point Bro kiukweli Fursa zipo kibao sana tunakaliaa kufatiliaa udaku tuu mara connection ujinga tuu na huo mchana mtu hujui utakula nini
Pia swala la forex mwenye nimechek wengi kibongo bongo kelele nying kiukweli yaan mtu atakwambiaa anapiga mpunga fx lakin huon maendeleo yake na ankomaa kukushawish utoe hela ili akufundishe au amenej acc yako
Kuna haja kubwa sana ya kuanzisha forum ya "MAKING MONEY ONLINE".

Wabongo ilibidi tuwe mbali sana hizi vitu kwasababu internet ni bei rahisi sana na speed ni nzuri ila inatumika kuchekia udaku insta, kufowadi memes / vichekesho groups za WhatsApp, kuangalia porn, na takataka kibao, huko south Africa 1 GB inabidi ujipinde ulipe kama msimba hivi.

Kuna fursa nyingi sana online hata kama huwezi chochote unaweza kununua Huduma kwa bei rahisi na kuuza kwa Wateja wa marekani kwa bei ya juu, kwa mfano unaweza kwenda huko fiverr ama up work ukajinadi wewe ni mchoraji kumbe hujui, ukipokea kazi unaenda kwa vibanda vya wachoraji wakare wanakuchorea hata kwa buku 5 michoro iliyonyooka wewe unauza kwa dola 5 na kadri unavyozidi kusifiwa unatoza 10 unaenda mpaka 20.

Kuna lundo la waburudishaji huko insta ambao huenda hawaingizi chochote ila wanatoa burudani kwa followers wao bure kabisa labda wakibahatika kupost matangazo ya dawa za nguvu za kiume ndio wanapataga hata teni, aina hii ya watu ilibidi wawe na blogs ama apps zao zilizo na ad networks kama AdSense, propeller ads, adsterea, medianet. N.k, wanaposti stories au video nusu then wanashawishi followers wakatazame video nzima kwenye blogs ama apps zao ili wafaidike kwa kuingiza pesa.

Katika dunia ya Leo ukijiongeza huwezi ukatamani ajira hizi za maofisini za laki 5, ajira za online zinalipa mno hasa ukiangalia sisi hapa kwetu matumizi ni madogo, unakuta unaingiza hata dola 100 (220,000 pesa ya madafu) kwa siku ambayo kwa nchi za ulaya zinazolipa mshahara wa chini elf 20 kwa saa ni hela ya kawaida ila kibongo bongo hapa ushawini .

Changamoto inapokuja ni kwamba wabongo wengi wanaofanya hizi online works (ukiachana na forex) ni wachoyo wa ramani na kuna baadhi yao wanadanganya kuwa wanaingiza pesa mtandaoni ili wapate wanafunzi wataolipia ada ya darasa kumbe wao kama wao hawajawai kuingiza hela katika kile wanachofunidisha, ukitaka kuwajua ulizia ushahidi wa hela waliyoingiza na miamala ya kutoa hizo pesa, wengi huishia kubwabwaja maneno.
 
Kaka nakushukuru sana leo unabadilisha Mind yangu kwa kila uzi nilioupitiaa [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Natamani sana kufanya hiz mambo online lakin nakosa mentor napenda haya mambo
Watu hawapendi kufanya mambo magumu kwasababu they are so used to old habits.

Pia they have this closed mindset that it’s very hard for them to see new opportunities.

They wait government to give them jobs. It is unfortunate that won’t happen.

Job economy is dying.

Now we are transitioning to new type of economy. Skill based economy.

And here is the last thing.

Research zinaonyesha zaidi ya 75 percent ya waajiri wanaona ni bora kumpa kazi freelancer.

It is good for business you know.
 
Suree mkuu
Kuwa Online Freelancing haimaanishai unaenda kuwa tajiri.

Lakini utaweza kutengeneza side income itakayokusaidia kulipia bills zako.

Online Freelancing inaweza fanywa na watu walio kwenye ajira tayari lakini wanatafuta source nyingine ya income.

Unarudi zako home baada ya kazi unapumzika kidogo halafu baada ya hapo unaingia mtandaoni unapiga kazi.

Ni njia nzuri sana yakukuza si tu kipato chako bali pia kunoa Skills zako
 
Back
Top Bottom