Chagua either unafungwa (which is very bad) au unafungwa alafu unaambiwa upo huru - ukibisha kwamba mbona najiona sipo huru, wanatumia pesa zako kukushawishi kukulaghai kwamba upo huru na kukwambia mbona sisi tuna-smile kama hatupo huru (which is worse)Huo huo wizi ndio safi maana inakupa chance ya kusogeo kuliko kuishi kama jela wakati uko mtaani ,ikiwa hivyo si Bora ufe tuu yaani uwe unafungwa na kuamuliwa utu wako?
Haya mambo inategemea tu Africa kuna democracy gani sasa, dokta ulimboka alinyofolewa meno kulikua na udikteta si Hiii mnayo ona democracy, yani Democracy uchwara ya wezi kuachwa na matajiri kutofungwa maskini kufa na kusombwa magerezani ndani ya iyo iyo tunayo ona demokrasia amna haki, yawezekana ata uko libya wakati wa dicteta walipata haki mahakamani sio bongo panapo itwa pana demokrasia.Huo huo wizi ndio safi maana inakupa chance ya kusogeo kuliko kuishi kama jela wakati uko mtaani ,ikiwa hivyo si Bora ufe tuu yaani uwe unafungwa na kuamuliwa utu wako?
Siishi hewani Bali mtaani,sihitaji kuambiwa Bali naona mwenyewe.Unajua maana ya Heri Kuliko ?
Unajua maana ya Maigizo ?
Ni kwamba hali ni mbaya lakini bado wanatumia pesa kufanya propaganda (ku-insult your intelligence) kwamba hali ni nzuri..., Yaani hata midomo yao inajaribu kudanganya masikio yao..., kwamba all is well. Ukibisha ni either kuambiwa uondoke (kama vile wana hati miliki na nchi) au kuandaliwa uongo na kudanganywa kwa gharama ya kodi zako....
Hence in such a case a Benevolent Dictator is way better..., As mwisho wa maigizo hayo ni hali kuzidi kuwa mbaya and in the end things will fall apart...
Ndio maana ya partial democracy hutakiwi kuvuka mstari.Unaambiwa andamana ila njoo tuzungumze hutaki Sasa ulitaka wamchekee? Hata Kwenye Demokrasia hakuna ujinga kama huo.Haya mambo inategemea tu Africa kuna democracy gani sasa, dokta ulimboka alinyofolewa meno kulikua na udikteta si Hiii mnayo ona democracy, yani Democracy uchwara ya wezi kuachwa na matajiri kutofungwa maskini kufa na kusombwa magerezani ndani ya iyo iyo tunayo ona demokrasia amna haki, yawezekana ata uko libya wakati wa dicteta walipata haki mahakamani sio bongo panapo itwa pana demokrasia.
Tatizo ni CCMTukumbushane tu...,
Sisemi kwamba hili linatokea Sasa lakini Kutumika kwa Rasilimali Fedha na Muda kwenye Maigizo ya Demokrasia au Kutumia Pesa kwa Propaganda, ni bora Muda na Pesa hizo zikatumika kuleta maendeleo kwa Wananchi wanaojua Demokrasia haipo (Maigizo yana Gharama isiyo na Tija, Hususan pale yule unayemuigizia anajua ni Maigizo)
He is not deceived who knows himself to be deceived.
CCM imekutoa akili na kukudaunilodi wanatukana na ikabaki inacheza wanatukana.Hamia kwenye udikteta sio mbali ni hapo Rwanda tuu harafu ukamkosoe Kagame achilia mbali Kumtukana.
Kwani Mimi ni mwana ccm?CCM imekutoa akili na kukudaunilodi wanatukana na ikabaki inacheza wanatukana.
Mstari gani mtu alikuwa anasimamia kweli ya mdaktari ambayo ni wajibu wa serikali, hakuna uhuru hapo, ni kivuli kilichofunika wachache na kuwaacha weengi juani, mfumo wa serikali ya iran ama China ni far better kuliko hii demokrasia ya Africa .Ndio maana ya partial democracy hutakiwi kuvuka mstari.Unaambiwa andamana ila njoo tuzungumze hutaki Sasa ulitaka wamchekee? Hata Kwenye Demokrasia hakuna ujinga kama huo.
Kwani Wafanyakazi wako wakigoma ukawaambia rudini kazini njoo tuyajenge Wenyewe wanasema haturudi tuyajenge hapa hapa utaendelea kuwaacja waharibu Mali Yako?Mstari gani mtu alikuwa anasimamia kweli ya mdaktari ambayo ni wajibu wa serikali, hakuna uhuru hapo, ni kivuli kilichofunika wachache na kuwaacha weengi juani, mfumo wa serikali ya iran ama China ni far better kuliko hii demokrasia ya Africa .
Udikteta ni Bunduki ?Siishi hewani Bali mtaani,sihitaji kuambiwa Bali naona mwenyewe.
Ushahidi ni humu jf mnavyotukana,mtaani mnafanya mikutano hiyo hiyo ya maigizo nk.
Bora watumie pesa kwenye propaganda kuliko kutumia bunduki.
Wewe hao wanaotukana ni akina nani?Kwani Mimi ni mwana ccm?
Tuyajenge since uhuru hizo ndo hekaya za mwanasiasa, mfanyakazi wako kila siku unampiga kalenda kwa ahadi nzuri usizotimiza siku akisema afanyi kazi mpka utimize ahadi zako anakuwa amekosea?Kwani Wafanyakazi wako wakigoma ukawaambia rudini kazini njoo tuyajenge Wenyewe wanasema haturudi tuyajenge hapa hapa utaendelea kuwaacja waharibu Mali Yako?
Propaganda zipi zinazotumia pesa? Kama ni propaganda kama hizi hapa basi waongeze fungu 👇Udikteta ni Bunduki ?
Sasa ngoja nikwambie worse than huo Udikteta wa Bunduki ni pale ambapo bunduki inatumika alafu unaambiwa kwamba hazitumiki and all is well (tena kuambiwa huko ni gharama kwa gharama ya pesa zako)
By the way wewe unaonekana ni mtu unayeridhika na mediocrisy nani amesema tuwe hapa na tusiwe pale bora zaidi..., kwanini tupigwe propaganda na sio hizo pesa za propaganda zifanye kile kinachopigiwa propaganda...
Hao ni watumishi wetu tunawalipa wala hawafanyi hisani..., hizi zibaziba za maigizo ya kutokuziba ufa mwisho wake ni ujengaji wa ukuta ambao tunajikuta huko kwenye watu wanatumia bunduki; Badala ya kupendana na kupambana na mazingira propaganda na divide and rule inatufanya tuanze kutafutana uchawi baina ya ndugu na ndugu....
Wewe ulitakaje? Kwani udikteta sio siasa? Si aina ya mfumo wa Utawala ambao ndio kwanza inaongoza Kwa propaganda,vitisho na mauaji.Tuyajenge since uhuru hizo ndo hekaya za mwanasiasa, mfanyakazi wako kila siku unampiga kalenda kwa ahadi nzuri usizotimiza siku akisema afanyi kazi mpka utimize ahadi zako anakuwa amekosea?
Bora tujue tuko chini ya mwamvuli upi sio maigizo hiiii tuliyonayo si demokrasiaWewe ulitakaje? Kwani udikteta sio siasa? Si aina ya mfumo wa Utawala ambao ndio kwanza inaongoza Kwa propaganda,vitisho na mauaji.
Tanzania Ina maisha mazuri na nafuu kuliko Nchi nyingi sana za Afrika,tunazisiwa na Nchi chache sana kuanzia kwenye Demokrasia mnayoita ya maigizo Hadi life standards mtaani.Tanzania imefilisika haina Katiba Mpya
Kwani saizi hujui kwamba uko kwenye Mwamvuli wa partial democracy? Na hii ndio suitable Kwa Tanzania.Bora tujue tuko chini ya mwamvuli upi sio maigizo hiiii tuliyonayo si demokrasia
Partial democracy? Ndo kuongoza watu kama ng'ombe? Kuchagulia watu viongozi? Nchi imekosa dira inajiendea tu keki kubwa inaliwa na wachache wasiojua hata kutengeneza nyingine, hata hadhi ya partial haina.Kwani saizi hujui kwamba uko kwenye Mwamvuli wa partial democracy? Na hii ndio suitable Kwa Tanzania.
Huo Mwamvuli mwingine wewe unakusaidiaje maana sielewi unachotaka hasa.
System ipi hauingizwi kama Ng'ombe? Wewe ndio huna dira au hujui kama Tanzania inatekeleza dira ya 2025 na Sasa dira ya 2050 inaandaliwa.Partial democracy? Ndo kuongoza watu kama ng'ombe? Kuchagulia watu viongozi? Nchi imekosa dira inajiendea tu keki kubwa inaliwa na wachache wasiojua hata kutengeneza nyingine, hata hadhi ya partial haina.