Heri Udikteta Kuliko Maigizo ya Demokrasia

Heri Udikteta Kuliko Maigizo ya Demokrasia

Partial democracy hufunhwi maana Haina amei za kindezi ndezi kama kwenye authoritarian.

Huoni Kwa Sasa unatukana Hadi Rais ,unamwaga povu ila unaachwa tuu but Kwa Mwendazake wote mliufyata yaani alibakia kuja kuwaoa tuu.
Acha uwongo,akina Mwabukusi na Dkt.Slaa mbona walikamatwa kisa wameikosoa serikali?
Unaelewa maana ya Demokrasia kweli?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
 
Acha mzaha wewe,kabla ya Magufuli kulikuwa na Demokrasia gani ambayo saizi haifanyiki? Yaani kipi kilifanyika awamu ya JK ambacho saizi hakifanyiki?
Mchakato wa KATIBA MPYA Wapinzani waliachwa huru kufanya siasa bila zengwe.

Lakini Mama katandaza Mapolisi huko Mwanza na kuwafanyua Zengwe Wanaharakati wa Sauti ya Mtanzania.
 
Acha uwongo,akina Mwabukusi na Dkt.Slaa mbona walikamatwa kisa wameikosoa serikali?
Unaelewa maana ya Demokrasia kweli?

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Nilikwambia mapema kwenye post yangu,ukivuka magari utakamatwa elewa maana ya partial democracy.

Trump ana kesi Mahakamani hizi hizi za Kisiasa sembuse hao njaa Kali? Ni hivi ukitaka Raha hama Duniani nenda Mars huko.
 
Mchakato wa KATIBA MPYA Wapinzani waliachwa huru kufanya siasa bila zengwe.

Lakini Mama katandaza Mapolisi huko Mwanza na kuwafanyua Zengwe Wanaharakati wa Sauti ya Mtanzania.
Wapinzani wapi ambao waliachwa huru bila zengwe? Unakijua unachoongea au unapayuka tuu? Mwazazo,Mwandishi wa Iringa,Mabomu ya Arusha,Kesi Polisi ,kufukuzwa Bungeni,Kuopita bila kupingwa nk sio zengwe au siyo?

Polisi wataendelea kishika doria Ili kuwashughukikia wanaotaka kuleta vurugu za kuvuruga amani.
 
Bahati mbaya hakuna Serikali ya kukutafutia maisha.Hao walimu mnaowataja Wana maisha mazuri kuliko Watumishi wengi wa Halmashauri na Wizarani.

Na Mimi nasema waulize wakulima wanataka warudi Misri au safari iendelee? Waulize Wafanyabiashara wanataka warsudi Misri au safari iendelee? Na mwisho Uliza Watumishi Kwa ujumla wanataka warudi Kwa Sera za Mwendazake au tusonge mbele?
narudia tena kukwambia we ni KIAZI
 
Wapinzani wapi ambao waliachwa huru bila zengwe? Unakijua unachoongea au unapayuka tuu? Mwazazo,Mwandishi wa Iringa,Mabomu ya Arusha,Kesi Polisi ,kufukuzwa Bungeni,Kuopita bila kupingwa nk sio zengwe au siyo?

Polisi wataendelea kishika doria Ili kuwashughukikia wanaotaka kuleta vurugu za kuvuruga amani.
Ndicho kipindi Wabunge wengi wa Upinzani waliingia Bungeni kuliko kipindi chochote tokea tupate Uhuru.

Huyu Mama kafanya nini so far zaidi ya kuzalisha Machawa?.
 
Ndicho kipindi Wabunge wengi wa Upinzani waliingia Bungeni kuliko kipindi chochote tokea tupate Uhuru.

Huyu Mama kafanya nini so far zaidi ya kuzalisha Machawa?.
Kwani saizi uchaguzi umefanyika? Wabunge wa upinzani kuwa wengi Bungeni ndio Demokrasia au? Toa upuuzi hapa.
 
Kwani saizi uchaguzi umefanyika? Wabunge wa upinzani kuwa wengi Bungeni ndio Demokrasia au? Toa upuuzi hapa.
Umeona alivyojaza Mapolisi huko Mwanza kwa ajili ya Slaa na Mwabukusi mbona anapanick au hajiamini?
 
una shida mahali, kutokimbia nchi sio kuridhika mitanzania mingi mijinga bora ife na njaa kuliko kuonesha awaridhiki
Ethiopia ni nchi inayokua kiuchumi Afrika na imealikwa kujiunga na BRICS.. Kahamie huko patakufaa ila jiulize kwanza kwanini inaongoza kwa raia wake kukamatwa nchi zingine kama wahamiaji haramu? Sio kila unachosikia kina ukweli. Hapo Kenya mnapopasifia kuwepo demokrasia watu wanalala kwenye nyumba za mabati. Pale Nairobi ni watu wachache sana wanamiliki nyumba... wengi wao ni wapangaji. Hawa wanaharakati uchwara ndo wanawapoteza kwa kuwadanganya vilaza kama wewe.
 
Ethiopia ni nchi inayokua kiuchumi Afrika na imealikwa kujiunga na BRICS.. Kahamie huko patakufaa ila jiulize kwanza kwanini inaongoza kwa raia wake kukamatwa nchi zingine kama wahamiaji haramu? Sio kila unachosikia kina ukweli. Hapo Kenya mnapopasifia kuwepo demokrasia watu wanalala kwenye nyumba za mabati. Pale Nairobi ni watu wachache sana wanamiliki nyumba... wengi wao ni wapangaji. Hawa wanaharakati uchwara ndo wanawapoteza kwa kuwadanganya vilaza kama wewe.
Umekula mzee? au ndo ndo unasubiri mkutano ya Chama mmepewe posho ya kodi zetu muone mmemaliza maisha uku ukisubiri teuzi za UVCCM
 
Nilimpenda sana 'Mama' ila kusema kweli kwa sasa hapana!
Jukumu lake la kwanza la kulinda raslimali za nchi imekuwa kinyume chake.
Nchi imekuwa shamba la bibi, wateule wake wamwekuwa mchwa wakali wa kukwapua kila kilicho mbele yao
 
Partial democracy hufunhwi maana Haina amei za kindezi ndezi kama kwenye authoritarian.

Huoni Kwa Sasa unatukana Hadi Rais ,unamwaga povu ila unaachwa tuu but Kwa Mwendazake wote mliufyata yaani alibakia kuja kuwaoa tuu.
Speak for Yourself..., Mimi wa wakati ule ndio wa wakati huu
Ziara za Rais Magufuli mikoani zinapoteza maana kwa kutumika kisiasa
(Hio ni moja tu lakini nilikuwa napiga nyundo kila panapohitajika huo ni wajibu wetu kama walipa Kodi kwa watumishi wetu kusema tunachosema sababu sio Hisani)....,

Sasa na kama leo hii watu waliopo Juu wanafanya bado wanavyotaka wao hio kama sio dictatorship ni nini :- Dictatorship one person or a small group possesses absolute power without effective constitutional limitations. (Sasa kama Bunge ndio hili rubberstamper, mahakama ndio hio inafanya inachofanya what do you call that) na mbaya zaidi haya yanafanyika kwa Maigizo kwa gharama kubwa....

Tofauti yangu na wewe sigombani ni marehemu kwa ku-justify the unjustifiable...., Tena nadiriki kusema wanachukua mabaya ya wakati ule, wanaacha mazuri na wanaongezea na mabaya yao...., In short hawaeleweki
 
Hiyo ndio partial democracy kwamba unaongea ila usivuke mpaka.Kule kwingine huruhusiwi hata kuongelea issue ya serikali.

Redio zote za Umma na private ilikuwa ni kusifia na kuabudi,vijiweni watu wana hofu ,Ukiwa na pesa ni shida.Upumbavu kama huo wewe ndio unataka? Utakuwa ni mtu uliyezoea kufugwa.
Kwahio wewe mtu akikuacha uongee hata kama hakusikilizi wala kufuata kile ambacho yeye kama mtumishi wako hakifuati wewe kwako unaona hio ni Demokrasia ? (Demokrasia ya Kupiga Porojo)
 
Huo huo wizi ndio safi maana inakupa chance ya kusogeo kuliko kuishi kama jela wakati uko mtaani ,ikiwa hivyo si Bora ufe tuu yaani uwe unafungwa na kuamuliwa utu wako?
Unajua gharama na effects za huo wizi in the long run ? vipi hao walamba asali siku hio asali ikiishi au ikibakia ndogo ? Huoni kwamba nchi itaparaganyika na mwisho wa siku alternative ni watu Mapinduzi ambayo God Forbid inaweza ikawa Jeshi ambapo ukajikuta kwenye huo huo Udikteta ambao unasema ni mbaya (and by then hata resources watu wameshamaliza)
 
Back
Top Bottom