Heri Udikteta Kuliko Maigizo ya Demokrasia

Heri Udikteta Kuliko Maigizo ya Demokrasia

How has one got to do anything with the other ? Kwahio wasingekuwa na Katiba Mpya (which kwangu ni immaterial sababu tatizo sio upya ni uzuri) je hayo yaliyotokea yasingetokea ?

Labda ningekuona una point ungesema since Katiba ni Sheria na Sheria zilizopo sasa zinavunjwa ni miracle gani itafanya sheria zinakazotungwa / rekebishwa kesho kutokuvunjwa...
Probably yasinhetokea
 
Demokrasia ya kweli according to nani? Kwa taarifa Yako Demokrasia Haiko uniform
Nguvu ya Umma; Rule of People, for the People and by the People...., Huo ndio mzizi dēmokratia, which was coined from dēmos (“people”) and kratos (“rule”)

Sasa wewe kama unayo ya kwako ni bora na jina ukatafuta lako sababu kama kwenye jina kuna UMMA / WATU alafu wewe unaona Genge au mtu fulani ndio ana hati miliki ya kuamua alafu bado unaita hio Demokrasia inabidi turudi kwenye Kamusi....
 
Nguvu ya Umma; Rule of People, for the People and by the People...., Huo ndio mzizi dēmokratia, which was coined from dēmos (“people”) and kratos (“rule”)

Sasa wewe kama unayo ya kwako ni bora na jina ukatafuta lako sababu kama kwenye jina kuna UMMA / WATU alafu wewe unaona Genge au mtu fulani ndio ana hati miliki ya kuamua alafu bado unaita hio Demokrasia inabidi turudi kwenye Kamusi....
Ndio ulivyokarieishwa na Westerner si ndio? Basi kuna African Democracy
 
Kwa nini niwadanganye? Nawaeleza kilichopo.Umewahi sikia Watanzania wanakimbia Nchi Yao kama hao mnaowasikia wanafia kwenye malori na baharini Mediterania?

Tena Serikali iendelee kupiga Pini Machadema hivi hivi wasituletee blaa blaa zisizo na msingi.
Wale Wanzibar waliojaa UK Leicester, Reading n.k. ni Watalii ?

Je watanzania wanakaa / wanapenda nchi yao sababu ya Maliasili nyingi, Utajiri naturally wa Nchi; Ukarimu wa wananchi au ni Sababu ya Ulafi, Uroho na Kebehi za Walamba Asali ?

If anything kukosa Busara kwa viongozi wa sasa ndio kutaharibu Taifa la Kesho..., Badala ya kujikita kwenye Sera za kuongeza Ajira zenye Ujira kwa wananchi ili kuondoa Umasikini wanajikita kwenye Propaganda sizizo na Mwisho....
 
Wale Wanzibar waliojaa UK Leicester, Reading n.k. ni Watalii ?

Je watanzania wanakaa / wanapenda nchi yao sababu ya Maliasili nyingi, Utajiri naturally wa Nchi; Ukarimu wa wananchi au ni Sababu ya Ulafi, Uroho na Kebehi za Walamba Asali ?

If anything kukosa Busara kwa viongozi wa sasa ndio kutaharibu Taifa la Kesho..., Badala ya kujikita kwenye Sera za kuongeza Ajira zenye Ujira kwa wananchi ili kuondoa Umasikini wanajikita kwenye Propaganda sizizo na Mwisho....
Aliyewakataza kurudi Tzn ni nani?
 
Ndio ulivyokarieishwa na Westerner si ndio? Basi kuna African Democracy
Westerner wapi huo ndio mzizi wa neno Demokrasia ambalo limetoka kwenye neno la Kigiriki....;

The word democracy comes from the Greek words "demos", meaning people, and "kratos" meaning power; so democracy can be thought of as "power of the people ...

Sasa ukitaka kutumia neno Demokrasia lazima ufuate maana yake ni nini..., ila kama tunaongelea mfumo wa kuongoza nchi mimi, wewe au mtu mmoja au kajikundi ka watu haipaswi kuwachagulia watu wanataka nchi yao iongozwe vipi... ni wao ndio wanaweza kuchagua... (and by that logic utakuwa umerudi palepale kwenye Demokrasia)
 
Aliyewakataza kurudi Tzn ni nani?
Hivi unajua au unafuata mtiririko wa unachosema ?

Sio wewe uliyesema wengine ndio wanakimbia nchi zao Tanzania hakuna anayekimbia na mimi nikakupa reference kwamba nenda Leicester na Reading utakuta wakimbizi wa kutosha kutoka Zanzibar...

Vilevile nikakupa nyongeza kwamba watu kuipenda Tanzania yao has nothing to do na wanachofanya walamba asali bali watu / watanzania by nature ni hospitable...
 
Hata unajua maana ya Udikteta au Demokrasia ?

Ungejua hayo basi ungeelewa kwamba wewe upo kwenye Udikteta kwa Maigizo ya Demokrasia (Hence gharama inatumika kubwa sana kwenye hio Tamthiliya wakati in the end hakuna Demokrasia yoyote); Unless unaridhika na mediocrisy...
Hamia Marekani kwenye demokrasia ya kweli ambako Hillary Clinton alishinda wananchi walimchagua ila wale watu 240 wanaoitwa Electoral College wakampiga chini na kura zake zikawa hazina maana. Duniani hakunaga demokrasia.. cha muhimu tuishi kwa mujibu wa sheria.
 
Bahati mbaya hakuna Serikali ya kukutafutia maisha.Hao walimu mnaowataja Wana maisha mazuri kuliko Watumishi wengi wa Halmashauri na Wizarani.
And how is that a good thing ? Yaani hao wanaolalamika kwamba maisha ni magumu in reality maisha yao ni mazuri kuliko majority..., Thus mambo ni mabaya zaidi, Sasa nani wa kulaumiwa kwa hali hio kama sio watunga Sera ?
Na Mimi nasema waulize wakulima wanataka warudi Misri au safari iendelee? Waulize Wafanyabiashara wanataka warsudi Misri au safari iendelee? Na mwisho Uliza Watumishi Kwa ujumla wanataka warudi Kwa Sera za Mwendazake au tusonge mbele?
Huwezi uka-compare mwanaridha kipofu na mwanariadha anyeona yaani unatafuta weakness iliyotokea kwenye Awamu iliyopita una-compare na kilichopo sasa wakati kuna mazuri kipindi kile kuliko sasa wala haufanyi comparison..., vilevile unasahau kwamba hata hawa waliopo sasa ndio kipindi kile walikuwepo..., Mbaya zaidi tunazidi kurudi nyuma
 
And how is that a good thing ? Yaani hao wanaolalamika kwamba maisha ni magumu in reality maisha yao ni mazuri kuliko majority..., Thus mambo ni mabaya zaidi, Sasa nani wa kulaumiwa kwa hali hio kama sio watunga Sera ?

Huwezi uka-compare mwanaridha kipofu na mwanariadha anyeona yaani unatafuta weakness iliyotokea kwenye Awamu iliyopita una-compare na kilichopo sasa wakati kuna mazuri kipindi kile kuliko sasa wala haufanyi comparison..., vilevile unasahau kwamba hata hawa waliopo sasa ndio kipindi kile walikuwepo..., Mbaya zaidi tunazidi kurudi nyuma
Unahangaika kuijaza empty set kaka
 
Hamia Marekani kwenye demokrasia ya kweli ambako Hillary Clinton alishinda wananchi walimchagua ila wale watu 240 wanaoitwa Electoral College wakampiga chini na kura zake zikawa hazina maana.
Aliyesema Marekani inafaa ni nani ? Kwahio Marekani anapopotoka na sisi tupotoke au tuendeleze Maigizo sababu na Marekani kuna Maigizo ?
Duniani hakunaga demokrasia.. cha muhimu tuishi kwa mujibu wa sheria.
Hizo sheria anatunga nani na kwa ajili ya nani ? Sasa huoni kama Sheria hizo watu wameshiriki kuzitunga na kuzikubali hio ndio mwanzo wa Demokrasia yenyewe ? Je hizo Sheria zinafuatwa au walamba asali wanafuata kile ambacho ni convinient kwao ?
 
Aliyesema Marekani inafaa ni nani ? Kwahio Marekani anapopotoka na sisi tupotoke au tuendeleze Maigizo sababu na Marekani kuna Maigizo ?

Hizo sheria anatunga nani na kwa ajili ya nani ? Sasa huoni kama Sheria hizo watu wameshiriki kuzitunga na kuzikubali hio ndio mwanzo wa Demokrasia yenyewe ? Je hizo Sheria zinafuatwa au walamba asali wanafuata kile ambacho ni convinient kwao ?
Jomba mbona unanililia sana aisee? Nilikuandikia barua ya kukuomba uzaliwe Tanzania? Ndo umeshakuwa Mtanzania hivyo hakuna namna. Kaa kwa kutulia
 
Mwendazake hakuruhusu hata kusafiri
Kusafiri kwa pesa ya nani ? Mshahara wako au Pesa ya Mlipa Kodi ? Kama ni the latter that was the good thing sababu Safari za hawa wadau sijaona value for money.... zaidi ya kuweka dent kwenye our coffers...
 
Kusafiri kwa pesa ya nani ? Mshahara wako au Pesa ya Mlipa Kodi ? Kama ni the latter that was the good thing sababu Safari za hawa wadau sijaona value for money.... zaidi ya kuweka dent kwenye our coffers...
Baada ya hapo kipi Cha maana mlifanya?
 
Jomba mbona unanililia sana aisee? Nilikuandikia barua ya kukuomba uzaliwe Tanzania? Ndo umeshakuwa Mtanzania hivyo hakuna namna. Kaa kwa kutulia
Ukishajua au ungejua Nchi / Taifa ni la mwananchi wala usingesema unayosema..., Na ungejua kwamba Demokrasia ni Rule / Power to the People basi hata wewe ungeelewa kinachofanyika ni maigizo...

Na kuona kwako kwamba watawala ndio wanafaa kuwa on top of the food chain inaonyesha you are stuck enzi za monarchy....
 
Baada ya hapo kipi Cha maana mlifanya?
Kwahio sababu hakuna cha maana kilichofanyika kwa kutokufuja pesa basi ni halali kwa hawa wafuje pesa ?

Hivi umevuta pumzi hata dakika mbili ku-observe implication ya unachosema ? Ukiwa Kiongozi mfujaji na watu wanaona kwamba wewe unafuja utawakemea vipi wengine wakifanya unachofanya...
 
Back
Top Bottom