Siasa, Wanasiasa, utitiri wa vyama wanazalisha nini, zaidi ya ku-drain our coffers kwa ruzuku ? Unaweza kusema ni a necessary cost.., lakini huwezi kuanzisha vyama vya Siasa kama njia ya mapato unaanzisha kama Matumizi ambayo ni ya lazima....
Kwa logic yako unaweza kuambiwa uanzishe kiwanda au Chama kingine cha Siasa ili vijana wengi zaidi waingie kwenye haya malumbano ukasema uanzishe Chama ili watu wapate Ujira ? Hii ndio huwa naita kujiibia mfuko wa Suruali ili uweke kwenye mfuko wa Shati (Cutting your Nose to Spite your Face)...., Kwa Hitimisho.., huu mtizamo wako wa vyama vya Siasa kama chanzo cha ajira hence kukuza Uchumi nadhani haujalifikiria vema na unahitaji kurudi kwenye drawing board...