Heri Udikteta Kuliko Maigizo ya Demokrasia

Heri Udikteta Kuliko Maigizo ya Demokrasia

Siasa, Wanasiasa, utitiri wa vyama wanazalisha nini, zaidi ya ku-drain our coffers kwa ruzuku ? Unaweza kusema ni a necessary cost.., lakini huwezi kuanzisha vyama vya Siasa kama njia ya mapato unaanzisha kama Matumizi ambayo ni ya lazima....

Kwa logic yako unaweza kuambiwa uanzishe kiwanda au Chama kingine cha Siasa ili vijana wengi zaidi waingie kwenye haya malumbano ukasema uanzishe Chama ili watu wapate Ujira ? Hii ndio huwa naita kujiibia mfuko wa Suruali ili uweke kwenye mfuko wa Shati (Cutting your Nose to Spite your Face)...., Kwa Hitimisho.., huu mtizamo wako wa vyama vya Siasa kama chanzo cha ajira hence kukuza Uchumi nadhani haujalifikiria vema na unahitaji kurudi kwenye drawing board...
Kumbuka wanasiasa wanakuwa na marafiki nje ya nchi let say chadema nchi anapata misaada kutoka cdu na vyama rafiki hivyo ni source nyingine ya foreghn money ambayo ni muhimu sana katika nchi. Leo hii tundu lisu Yuko nje ya nchi, unafikiri atakuja bila Dolla au pesa yoyote ya nje am ago Ina hochea uchumi kwa spending atakazofanya akiwa ndani?
 
Kumbuka wanasiasa wanakuwa na marafiki nje ya nchi let say chadema nchi anapata misaada kutoka cdu na vyama rafiki hivyo ni source nyingine ya foreghn money ambayo ni muhimu sana katika nchi. Leo hii tundu lisu Yuko nje ya nchi, unafikiri atakuja bila Dolla au pesa yoyote ya nje am ago Ina hochea uchumi kwa spending atakazofanya akiwa ndani?
Kwamba Tundu Lissu kabla hajawa Mwanasiasa alikuwa sio Mwanaharakati wala alikuwa hana hao marafiki ? Ukiwa Mbunge au hata wewe hapo ukiwa na good cause yoyote unashindwa kuandika a write up na kuomba misaada ?

By the way hii way of thinking tumerudi nyuma sana..., badala ya kuongelea objectives za kuwa self reliant (Kujitegemea) kama nchi wewe unawaza watu kwenda nje kurudi na dollar au marafiki wa kuwapa pesa ? Hao marafiki wao wanazipata vipi na sisi lini tutaanza kuwapa wao. Ni kwamba kifikra tumerudi sana nyuma...
 
Huwezi kuwaambia hivyo nchi za kidemokrasia kama Marekani, Japan, Korea Kusini au Ulaya wakakubali.
 
Ukipata fursa ya kufika au kuishi nchi yenye demokrasia utaelewa ulichoandika ni utumbo mtupu.
 
Huwezi kuwaambia hivyo nchi za kidemokrasia kama Marekani, Japan, Korea Kusini au Ulaya wakakubali.
Hata unaelewa nilichoandika au umeamua tu kuunganisha herufi ili zilete maneno ?

Udikteta ni Udikteta ni Mbaya hakuna anayebisha kila mtu ana haki ya kuamua kama mlipa Kodi (No Taxation without Representation) - lakini vilevile kuna a Benevolent ambaye anaweza kufanya mema kuliko hata yanayofanyika kwenye So called Demokrasia...

Sasa turudi kwenye nilichoandika..., A) Udikteta ambao unajualikana na Udikteta na unaendelea kama Udikteta B) Udikteta wa A lakini unamevikwa kama Demokrasia na unatumia propaganda kusema kwamba ni Demokrasia....

By the way on paper na ukiwauliza wote Uganda; Rwanda; JPM na Maigizo mengine yote yanayoendelea Afrika pote hizo zote ni Demokrasia....

And USA na UK na nchi nyingi za Ulaya walikuwa wanajiita Demokrasia hata wakati watu weusi au wanawake hawaruhusiwi kupiga Kura....
 
Kwamba Tundu Lissu kabla hajawa Mwanasiasa alikuwa sio Mwanaharakati wala alikuwa hana hao marafiki ? Ukiwa Mbunge au hata wewe hapo ukiwa na good cause yoyote unashindwa kuandika a write up na kuomba misaada ?

By the way hii way of thinking tumerudi nyuma sana..., badala ya kuongelea objectives za kuwa self reliant (Kujitegemea) kama nchi wewe unawaza watu kwenda nje kurudi na dollar au marafiki wa kuwapa pesa ? Hao marafiki wao wanazipata vipi na sisi lini tutaanza kuwapa wao. Ni kwamba kifikra tumerudi sana nyuma...
Uchumi ni give and take jamaa yangu au kwa lugha ya uchumi inaitwa pareto optimality. Pia kumbuka nchi yoyote inaoperate through open economy ndo mana international economics au finance inasomwa vyuoni. Kuna watu ambao no naturally endowed. Mflgabe alitaka kupeleka nchi yake kwenye closed economy yaani kila kitu ni wao wenyewe kilichotikea mpaka Leo pipi tu bei yake ni laki moja ya tz sokoni
 
Ukipata fursa ya kufika au kuishi nchi yenye demokrasia utaelewa ulichoandika ni utumbo mtupu.
Ukipata fursa ya kusoma na kuelewa nilichosema utaona kwamba umejibu swali ambalo halipo..., Kwahio kwa busara zako Korea Ingekuwa bora zaidi kama kinachoendelea kingeendelea ila kwa kuvika kinachoendelea kwamba ni Demokrasia (Maigizo) wakati kinachofanyika ni kinachofanyika ?!!!
 
Uchumi ni give and take jamaa yangu au kwa lugha ya uchumi inaitwa pareto optimality. Pia kumbuka nchi yoyote inaoperate through open economy ndo mana international economics au finance inasomwa vyuoni. Kuna watu ambao no naturally endowed. Mflgabe alitaka kupeleka nchi yake kwenye closed economy yaani kila kitu ni wao wenyewe kilichotikea mpaka Leo pipi tu bei yake ni laki moja ya tz sokoni
How has this got to do with anything Kwamba kwa Mugabe kulikuwa hakuna vyama vya Siasa ? Kwamba free Market inakuwa more free kwa kufanya Vyama kama Commodity ?

Unajua Rome maendeleo ya kiuchumi makubwa yalifanyika under dictatorship ? Lakini that point is non-starter sababu sio lazima to have one without the other..., (one is not inverse proportional to the other)
 
How has this got to do with anything Kwamba kwa Mugabe kulikuwa hakuna vyama vya Siasa ? Kwamba free Market inakuwa more free kwa kufanya Vyama kama Commodity ?

Unajua Rome maendeleo ya kiuchumi makubwa yalifanyika under dictatorship ? Lakini that point is non-starter sababu sio lazima to have one without the other..., (one is not inverse proportional to the other)
Kwa mugabe kila kitu kulikuwa ubabe tu hakuwa na siasa za maana. Kilichoisaidia Rome ni presence ya Roman Catholic church ambayo inskusanya na kijiendesha kw sadaka zinazokusanywa ulimwengu mzima. Kila Jimbo duniani linakatwa asilimia 10 ya mapato kwenda Vatican kuilisha

Nchi yoyote ambayo siasa haipo Kuna udictator hasa nchi za Africa maendeleo yake ni duni mfano Uganda, Burundi nk.
 
Kwa mugabe kila kitu kulikuwa ubabe tu hakuwa na siasa za maana. Kilichoisaidia Rome ni presence ya Roman Catholic church ambayo inskusanya na kijiendesha kw sadaka zinazokusanywa ulimwengu mzima. Kila Jimbo duniani linakatwa asilimia 10 ya mapato kwenda Vatican kuilisha

Nchi yoyote ambayo siasa haipo Kuna udictator hasa nchi za Africa maendeleo yake ni duni mfano Uganda, Burundi nk.
Hapa naona tunatoka kwenye reli ngoja nikurudishe..., ila kabla kwa taarifa yako Rome ilikuwa Republic way Before hata kabla ya Constantine kuchukua Dini ya Kikristu kama Dini yao (walikuwa wapagani) ila katika kila kipindi cha crisis sheria yao iliweza kumteua mtu na kumpa absolute power (Dictator) na hilo ndio jina alilopewa kwa miezi sita (ingawa wengi wali-abuse hii hali na kuendelea hata baadae zaidi; kwahio Rome as Republic ikaangushwa na na ma-Dictator mfano Caeser ali-decrale himself a Dictator for life) sasa ndio hapo nikakwambia arguably kwa kufanya vitu na kutekeleza mambo Rome iliendelea (maendeleo ya vitu) wakati huu wa so called Dictatorship (ingawa hii argument is neither here nor there; dictatorship should not be used kwamba ndio tool ya maendeleo)...,

Nachokubishia Vyama vya Siasa vina faida ya kukusanya watu wenye mawazo sawa kuwapa nguvu ya umoja na kuwaongezea sauti..., Kuvifanya kama commodity..., ni Kupotoka wala hio sio objective ya vyama vya Siasa
 
Udikteta ni dalili za uncivilization.
Na udikteta ambao ni dictatorship alafu unajidanganya ni Demokrasia (ulaghai) unaweza ukawa ni civilized (janja, janja na uongo) lakini kujaribu kudanganya watu wanaojua unawadanganya hizo ni dalili za nini ?
 
Nchi yoyote ambayo siasa haipo Kuna udictator hasa nchi za Africa maendeleo yake ni duni mfano Uganda, Burundi nk.
Aliyekwambia Uganda na Burundi ni Dictatorship ni nani kwa macho yao hio ni Demokrasia na ndio hapo Mzizi wa Uzi wangu (Maigizo ya Demokrasia) na Maigizo haya yapo katika level tofauti tofauti kutoka USA mpaka Uganda (Hakuna real Power to the People) and no one is calling a Spade a Spade...
 
Uchumi ni purchasing power na huwezi kuwa na purchasing power kama hakuna Aggregate demand ambayo inapatika kwa kukuza ajira kwa njia yoyote. Ukiona rais ambaye anabana pesa kama kipindi Cha jpm wanaoumia ni wanachi. Ikifanya siasa ishamili ni ajira hiyo kuliko kuanzisha vimiradi ambavyo unasababisha Capital draining mana wanaofanya kazi ni wachina au wengine ambao wanapeleka pesa kwao kama remitancies
Asante mchumi kwa kuleta point nzuri juu ya National Income
 
Aliyekwambia Uganda na Burundi ni Dictatorship ni nani kwa macho yao hio ni Demokrasia na ndio hapo Mzizi wa Uzi wangu (Maigizo ya Demokrasia) na Maigizo haya yapo katika level tofauti tofauti kutoka USA mpaka Uganda (Hakuna real Power to the People) and no one is calling a Spade a Spade...
Rais wa rwanda hataki kabisa kutoka madarakani Wala Museveni wa Uganda hii ndo udictator. Hakuna mwekezaji anayekuwa interested kuwekeza nchi za kidictator hasa potential investors mana maamuzi yanakuwa ya mtu mmoja ambapo ni risk kwa mwekezaji. Labda kuwe ni potentiality kubwa mno na ahakikishiwe risky aversing vinginevyo wanaogopaga sana. Ndo mana kipindi Cha jpm watu kama akina Mo walitaka kukimbia nchi. Manji aliondoka, Mbowe akakimbia na wengine wengi kwa sababu wanaogopa one man show ambayo mpaka umfurahishe kwanza ndo survival yako
 
Rais wa rwanda hataki kabisa kutoka madarakani Wala Museveni wa Uganda hii ndo udictator. Hakuna mwekezaji anayekuwa interested kuwekeza nchi za kidictator hasa potential investors mana maamuzi yanakuwa ya mtu mmoja ambapo ni risk kwa mwekezaji. Labda kuwe ni potentiality kubwa mno na ahakikishiwe risky aversing vinginevyo wanaogopaga sana. Ndo mana kipindi Cha jpm watu kama akina Mo walitaka kukimbia nchi. Manji aliondoka, Mbowe akakimbia na wengine wengi kwa sababu wanaogopa one man show ambayo mpaka umfurahishe kwanza ndo survival yako
Unazidi kuchanganya madesa na tunazidi kutoka kwenye reli...; na nikikufuata huko huenda tutajikuta tunaongelea Simba na Yanga...; Ukijitika kwenye Lecture at Hand utakubaliana na mimi kwamba Maigizo ni Mabaya na hata huko unakosema ni Udikteta wenyewe wanasema ni Demokrasia (hivyo hapo tutaanza debating what is democracy)

Haya tukiongelea kushika hatamu bila kutoka na wewe katika kipimo chako unaona kwamba USA ndio most democratic country nitakuuliza hivi Was Franklin D Roosevelt one of the Most Successful American Presidents and the longest serving mpaka kifo chake alikuwa Dictator ? Lets stick to the basics na basics ni Democracy is Power to the People... Thus jiulize hivi wapi The People have truly have Power ? Sasa tukija kwenye point yako kwamba vyama vya Siasa ni vyanzo vya Mapato / Pesa kwa nchi nadhani hauna tofauti na yule anayesema Petroli ni Kilevi sababu ukivuta unalewa na sio Nishati..
 
Back
Top Bottom