Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Umeshawahi kuona serikali inawaroga wananchi wake.Kwa nini niwadanganye? Nawaeleza kilichopo.Umewahi sikia Watanzania wanakimbia Nchi Yao kama hao mnaowasikia wanafia kwenye malori na baharini Mediterania?
Tena Serikali iendelee kupiga Pini Machadema hivi hivi wasituletee blaa blaa zisizo na msingi.
Mwenge wa Uhuru ndo unaleta uzombi wote huu. Mark my words