Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Bora maigizo maana walau yanakupa nafasi ya kupumua kidogo kuliko kufugwa kama Nguruwe.
Kama udikteta ni mzuri hamia Rwanda na kwingineko
Kawadanganye wanaoTanzania Ina maisha mazuri na nafuu kuliko Nchi nyingi sana za Afrika,tunazisiwa na Nchi chache sana kuanzia kwenye Demokrasia mnayoita ya maigizo Hadi life standards mtaani.
Na Kwa awamu ya mama alivyomwaga mabilioni huko Halmashauri haijawahi tokea,Hadi anatoka tutakuwa mbali sana.
Kwa nini niwadanganye? Nawaeleza kilichopo.Umewahi sikia Watanzania wanakimbia Nchi Yao kama hao mnaowasikia wanafia kwenye malori na baharini Mediterania?Kawadanganye wanao
Dira unaelewa maana yake? Au ndo utekeleezaji wake ndo huu wa kujenga majengo yasio n walimu? Maabara zilizokosa ata vernier caliper? Au dira gani unazungumza mzee. Unatetea ata ambacho ukielewi na unaowatetea awaelewiSystem ipi hauingizwi kama Ng'ombe? Wewe ndio huna dira au hujui kama Tanzania inatekeleza dira ya 2025 na Sasa dira ya 2050 inaandaliwa.
Ujinga wako usitujumuishe wote.
Ukweli upi na uongo gani? Partial democracy is real ni sawa na mixed economy Sasa hapo Kuna shida gani unaiona?Unataka uishi katika ukweli ili uwe free or katika uwongo ili uzidi kuapat false hopes na kumaliza energy katika vitu ambavyo havipo?
"Mtanikumbuka kwa mazuri, si mabaya" JPMTukumbushane tu...,
Sisemi kwamba hili linatokea Sasa lakini Kutumika kwa Rasilimali Fedha na Muda kwenye Maigizo ya Demokrasia au Kutumia Pesa kwa Propaganda, ni bora Muda na Pesa hizo zikatumika kuleta maendeleo kwa Wananchi wanaojua Demokrasia haipo (Maigizo yana Gharama isiyo na Tija, Hususan pale yule unayemuigizia anajua ni Maigizo)
He is not deceived who knows himself to be deceived.
una shida mahali, kutokimbia nchi sio kuridhika mitanzania mingi mijinga bora ife na njaa kuliko kuonesha awaridhikiKwa nini niwadanganye? Nawaeleza kilichopo.Umewahi sikia Watanzania wanakimbia Nchi Yao kama hao mnaowasikia wanafia kwenye malori na baharini Mediterania?
Tena Serikali iendelee kupiga Pini Machadema hivi hivi wasituletee blaa blaa zisizo na msingi.
Ona Sasa unavyokurupuka na kuruka ruka.Dira ya Maendeleo ya Tanzania inayoishia 2025 ilisukwa 2005.Hicho unachoita Madarasa yasiyo na walimu ni sehemu ya kuteleza dira kwenye sekta ya Elimu.Dira unaelewa maana yake? Au ndo utekeleezaji wake ndo huu wa kujenga majengo yasio n walimu? Maabara zilizokosa ata vernier caliper? Au dira gani unazungumza mzee. Unatetea ata ambacho ukielewi na unaowatetea awaelewi
Uigizaji NOUdikteta NO! Ufashisti NO!
Mfano wewe unamkumbuka dikteta uchwara Kwa mazuri yapi ambayo hayapo saizi?"Mtanikumbuka kwa mazuri, si mabaya" JPM
Uigizaji upi? Kati ya awamu ya 6 vs ya 5 wapi walikuwa wazee wa maigizo na propaganda?Uigizaji NO
Wee kiaziii kwaheriOna Sasa unavyokurupuka na kuruka ruka.Dira ya Maendeleo ya Tanzania inayoishia 2025 ilisukwa 2005.Hicho unachoita Madarasa yasiyo na walimu ni sehemu ya kuteleza dira kwenye sekta ya Elimu.
Kwani wewe unadhani dira Huwa inatekelezwaje?
Usilazimishe shida zako kuwa za Watanzania.Mnavyojifanya mna akili ndio kwaanza wanazidi kuwapuuza.una shida mahali, kutokimbia nchi sio kuridhika mitanzania mingi mijinga bora ife na njaa kuliko kuonesha awaridhiki
We nyumbu huna akili Wala hoja utaishia kulalamika kama piglets ππWee kiaziii kwaheri
Waulize walimu ,nenda kaishi kigogo mburahati manzese buguruni mbagala na waulize kama wanaridhika na serikali yao, nenda uko bukoba vijijini nenda uko songwe vijijini ukaone watu wanavoishi labda utapata akiliUsilazimishe shida zako kuwa za Watanzania.Mnavyojifanya mna akili ndio kwaanza wanazidi kuwapuuza.
Watanzania wangekuwa hawaelezei kutoridhika kwao Serikali ingetulia tuko bila kufanya kitu.
Kama huridhiki sio kazi ya Serikali kuridhisha mtu binafsi,hiyo kazi anaiweza mkeo , Serikali inafanya jambo la manufaa Kwa jamii ya walio wengi.
Mwisho wewe huridhiki na kipi Sasa kutoka Kwa.Serikali?
Lakini Maza hana nia ya dhati kurudisha Demokrasia iliyokuwepo kabla ya Magufuli.Uigizaji upi? Kati ya awamu ya 6 vs ya 5 wapi walikuwa wazee wa maigizo na propaganda?
Acha mzaha wewe,kabla ya Magufuli kulikuwa na Demokrasia gani ambayo saizi haifanyiki? Yaani kipi kilifanyika awamu ya JK ambacho saizi hakifanyiki?Lakini Maza hana nia ya dhati kurudisha Demokrasia iliyokuwepo kabla ya Magufuli.
We nyumbu huna akili Wala hoja utaishia kulalamika kama piglets ππ
Sasa kwani Watanzania wana tofauti gani na hao uliowataja?Nitajie nchi ya Kidemokrasia ambayo watu wake wanaishi maisha ya kilofa kama Tanzania!Wanaotaka hayo wawahi Rwanda,Niger,Burkinafaso watapumua tuu na kufugwa kama Nguruwe
Bahati mbaya hakuna Serikali ya kukutafutia maisha.Hao walimu mnaowataja Wana maisha mazuri kuliko Watumishi wengi wa Halmashauri na Wizarani.Waulize walimu ,nenda kaishi kigogo mburahati manzese buguruni mbagala na waulize kama wanaridhika na serikali yao, nenda uko bukoba vijijini nenda uko songwe vijijini ukaone watu wanavoishi labda utapata akili