"Heri wao walioushuhudia uongozi wa Rais Samia", yatakuwa maneno ya vizazi vyetu 50-100 ijayo

"Heri wao walioushuhudia uongozi wa Rais Samia", yatakuwa maneno ya vizazi vyetu 50-100 ijayo

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2019
Posts
2,789
Reaction score
4,951
Najaribu kuwaza kwa sauti nzito lakini yenye utulivu wa kutosha tutakayoyasikia au vizazi vyetu watakayotamani kuyasikia kutoka kwetu miaka 50-100 ijayo juu ya uongozi wa Rais Samia.

Kama vile ambavyo, kizazi kilichokuwa hakipo enzi ya uongozi wa Mwalimu kinavyotamani kumjua Mwalimu kutoka kwa waliokuwa wanamfahamu Mwalimu ndivyo hivyo kizazi kijacho kitakavyo kuwa na hamu ya kumjua zaidi Rais Samia kutoka kwetu.

Na hapa nawaza kama Mimi ndio mjukuu namuuliza Babu yangu ambaye anaishi sasa ameushuhudia utawala wa Rais Samia:

Ningemuuliza babu yangu Rais Samia ni nani hasa? Ningejibiwa kuwa ni....

Ningeendelea kuuliza , Je alifanya yepi hasa? Ningejibiwa alifanya Moja, mbili, tatu...

Ningeendelea kuuliza, alikuwa ni kiongozi mzuri eeeh na kivipi? Ningejibiwa, alikuwa ni mzuri Kwa sababu Moja, mbili.

Na ningemalizia kwa kusema " HERI WAO WALIOUSHUHUDIA UTAWALA WA RAIS SAMIA MAANA WANA MENGI WA KUYAKUMBUKA NA KUYAENZI JUU YAKE.

Nimegundua yafuatayo:

Inawezekana waliokuwa wanampinga Mwalimu kwa misimamo yake wangekuwa na uwezo wa kurudisha muda nyuma basi wangerudisha Muda ili wamwambie Mwalimu tumekosea.

Maisha ya Mwalimu yanakumbukwa na ambao hawamfahamu wala hawajawahi kumuona kwa macho lakini wanaomsoma na kusimuliwa tu.

Wakati ni Sasa:
Kabla ya kizazi kingine kuja kutambua mazuri ya Rais Samia ,wakati ni Sasa wa kuyambua na kuyaelezea.

Wakutambua kuwa Rais Samia ndio Rais wa kesho wa Tanzania na ataenziwa Kwa mazuri tu.
 
We unaumwa wewe watu wanaishi kulingana na wakati mambo ya kumbukizi hayatakusaidia kitu dunia ya kesho.
Wakati wewe unatamani kumjua kiongozi aliyepita wenzako wanawaza kuishi ulimwengu wa kesho..
Badala ya kwenda mbele wewe unarudi nyuma jinga kabisaa...
 
We unaumwa wewe watu wanaishi kulingana na wakati mambo ya kumbukizi hayatakusaidia kitu dunia ya kesho...
iwe History au Physics inaweka kumbukizi ya watu na hii ni katika kutambua mchango wa mtu husika. Ndio maana kabla ya kuijua law of gravitation unamfahami kwanza Isaac Newton
 
iwe History au Physics inaweka kumbukizi ya watu na hii ni katika kutambua mchango wa mtu husika. Ndio maana kabla ya kuijua law of gravitation unamfahami kwanza Isaac Newton
Sio kwa Samia ukimtaja Newton Isaac lazima jambo kubwa litahusika sio hizi blaa blaa za majukwaani...
 
Najaribu kuwaza kwa sauti nzito lakini yenye utulivu wa kutosha tutakayoyasikia au vizazi vyetu watakayotamani kuyasikia kutoka kwetu miaka 50-100 ijayo juu ya uongozi wa Rais Samia.

Kama vile ambavyo, kizazi kilichokuwa hakipo enzi ya uongozi wa Mwalimu kinavyotamani kumjua Mwalimu kutoka kwa waliokuwa wanamfahamu Mwalimu ndivyo hivyo kizazi kijacho kitakavyo kuwa na hamu ya kumjua zaidi Rais Samia kutoka kwetu.

Na hapa nawaza kama Mimi ndio mjukuu namuuliza Babu yangu ambaye anaishi sasa ameushuhudia utawala wa Rais Samia:

ningemuuliza babu yangu Rais Samia ni nani hasa? Ningejibiwa kuwa ni.........

Ningeendelea kuuliza , Je alifanya yepi hasa? Ningejibiwa alifanya Moja, mbili, tatu...

Ningeendelea kuuliza, alikuwa ni kiongozi mzuri eeeh na kivipi? Ningejibiwa, alikuwa ni mzuri Kwa sababu Moja, mbili...

Na ningemalizia kwa kusema " HERI WAO WALIOUSHUHUDIA UTAWALA WA RAIS SAMIA MAANA WANA MENGI WA KUYAKUMBUKA NA KUYAENZI JUU YAKE.

Nimegundua yafuatayo:

Inawezekana waliokuwa wanampinga Mwalimu Kwa misimamo yake wangekuwa na uwezo wa kurudisha muda nyuma basi wangerudisha Muda ili wamwambie Mwalimu tumekosea.

Maisha ya Mwalimu yanakumbukwa na ambao hawamfahamu wala hawajawahi kumuona kwa macho lakini wanaomsoma na kusimuliwa tu.

Wakati ni Sasa:
Kabla ya kizazi kingine kuja kutambua mazuri ya Rais Samia ,wakati ni Sasa wa kuyambua na kuyaelezea.

Wakutambua kuwa Rais Samia ndio Rais wa kesho wa Tanzania na ataenziwa Kwa mazuri tu.
Wakati wajukuu wako watakapokuwa wanatozwa matozo lukuki ili kumlipa mwarabu, lazima watauliza: Hivi hii bandari yetu nani aliiuza kwa hawa waarabu? Wakati huo utakuwa na akili timamu (shetani akizeeka anakuwa malaika), then utakuwa na jibu sahihi.
 
Back
Top Bottom