Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohoo...! basi sawaWe mie sio mchepuko wa mtu.
Hivi unanipendaga?Mbona haujawahi niambia?Hahahaha.......tushaachana na huyo mother ako atoto nilitaka awe kamchepuko kangu lkn nikaona hana muelekeo bado anampenda baba yako acha tu nirudi kwa mama watoto Honey Faith
Ngedere mie napendwa jamani[emoji124] [emoji124]Mmmh mbona ni kama umemuacha nyani ukaenda kwa ngedere[emoji23] [emoji23]
Anaelewa mie mwanamke lazima nisumbuliwe.Halafu uache kumsumbua mume wangu ebooo[emoji124]Hahahaaaaa!!! Yaani kumbe ndiko ulikokwenda!!! Rogie kuja ukamate mtu ugoni.
Usitishwe na maneno mwaya.Hao wazoee tu wanapenda utani sana....Hahahaha......ama kweli ng'ombe wa masikin hazai aisee..
kumbe huyo ndio mhusika?
Ndio ninaeTeh teh teeeeh!!!
Hivi kumbe una mume!!
Amesahau urithi wa bibi yake yuleMh!, huu ni urithi 100%, tena urithi upande wa bi mkubwa. [emoji2] [emoji124]
Ah ha kuita mume mbona rahisi tu. Unaamua tuTeh teh teeeeh!!!
Hivi kumbe una mume!!
Nilikuwa nasubiria wakati wa bwana ufike, NAKUPENDAHivi unanipendaga?Mbona haujawahi niambia?
eeeeh! kumbe una mume? hatari sana basi.Anaelewa mie mwanamke lazima nisumbuliwe.Halafu uache kumsumbua mume wangu ebooo[emoji124]
Amesahau urithi wa bibi yake yule
Me sio wa sport sportView attachment 449407
Naomba liftii!
atoto tutapata nini kwenye birthday?!, huyu mwanao zawadi zake si mchezo, mara roses za nguvu, halafu ona hii sasa..