Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usijali, nawe takuletea kitoi.View attachment 449407
Naomba liftii!
atoto tutapata nini kwenye birthday?!, huyu mwanao zawadi zake si mchezo, mara roses za nguvu, halafu ona hii sasa..
Haha ndo alokurithisha upasua kichwa kumbeBibi cha mtoto, kumi pacha wangu(lovely dad)
Wakiamua kushikana mikono ni wataanzia msamvu hadi matombo lolNa alivyo nao rundo, alafu wote waume zake, huyu msukuma sio wa sport sport.
Usijali, nawe takuletea kitoi.
Teh kina nani hao na wanapataga nini?Haha sawa bwana, yaani nipate kitoi tu.
Ntashukuru lakini cos wengine huwa wanapata vya ajabu kuliko vitoi. 😀
Hahaaaaaa we kiboko akyanani, loh![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Tunasubiri mualiko.
Tuje tu kwa mama mito, tupate mapochopocho angalau tunenepeshe vitambi vya kwenye hips[emoji38] [emoji38]Hahaaaaaa we kiboko akyanani, loh!
Hahaaaa angalia usinenepeshe na vitambi vya tumbo, tehTuje tu kwa mama mito, tupate mapochopocho angalau tunenepeshe vitambi vya kwenye hips[emoji38] [emoji38]
Kitambi cha tumbo mbona kipo tayari tehHahaaaa angalia usinenepeshe na vitambi vya tumbo, teh
Khaaaaaa!!Kitambi cha tumbo mbona kipo tayari teh
Teh una hamu ya kuitwa mjombaKhaaaaaa!!
What went wrong? kula kula au kitambi cha zygote? teh
Sana yaaniTeh una hamu ya kuitwa mjomba
Your dreams are still validSana yaani