Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

..Kina HS, wanapata magari. 🙂



Huh!, nisitake tena na ninavyopenda, likikosekana la kununua hata la kukodi bathi. Make sure unatimiza ahadi tu.
Kuna mtu alikuwa talked into kwenda kuchukua zawadi, kufika na kilichoendelea.. hana hamu.
Teh tusimulie nini kilimkuta
 
..Kina HS, wanapata magari. 🙂



Huh!, nisitake tena na ninavyopenda, likikosekana la kununua hata la kukodi bathi. Make sure unatimiza ahadi tu.
Kuna mtu alikuwa talked into kwenda kuchukua zawadi, kufika na kilichoendelea.. hana hamu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Kitoi usijali, utapata.
 
Apitizer muhimu, yaani tukifika shughuli ni moja tu, kui sasa ndio atatupa shida maana kamezoea vitu laini laini, sijui tukaache tu!!!

..kwa kunifananisha tu, hujamboo. Toka lini msukuma akazoea vitu laini?..OLE WENU MNIACHE!

Aaaaah nimefuta urafiki na nyie aisee, kumbe ulishakwea pipa kubwa. Mie mpaka wangu ni Tunduma tu, kuanzia leo sitaki ushirikiano na wewe na kui khaaa

Wee, hii damu damu hii, ukinuna huwezi maliza siku, mwenyewe utatumiss. 😀
 
..kwa kunifananisha tu, hujamboo. Toka lini msukuma akazoea vitu laini?..OLE WENYU MNIACHE!



Wee, hii damu damu hii, ukinuna huwezi maliza siku, mwenyewe utatumiss. 😀
Sasa ntakosa ushirikiano mkiongea mambo yenu ya x-pozha
 
Hata hatutohangaika nae, tunakuwa busy kama hatukaoni, maana katataka sijui uma na kisu, hivi unashibaje kula na vitu vya ajabu hivyo.

Basi nimekumbuka tulikuwa na safari ya kishule ya kwenda Sweeden, mkuu akatupeleka hotelini kutufundisha table maners na matumizi ya ya uma,vijiko na glass mbalimbali, aisee ilikuwa full vicheko. Khaaaah!!! Mambo mengine kuchoshana tu.

😀😀😀

Yaani kabsa ukaachia safari ya Sweden!, wewe bwana. Nasikia huko kumetia fora kwa kuwa na beau wa nguvu.
 
..kwa kunifananisha tu, hujamboo. Toka lini msukuma akazoea vitu laini?..OLE WENU MNIACHE!



Wee, hii damu damu hii, ukinuna huwezi maliza siku, mwenyewe utatumiss. 😀
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
We muache ajitoe ufahamu, alomwambia undugu unavunjwa nani!!

Sikusingizii mtoto laini laini sana wewe, usije ukatuchelewesha maana sisi tukifika pale kazi ni moja tu!!
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom