mito
JF-Expert Member
- Jun 20, 2011
- 10,682
- 10,801
Mmh.......!!Hivi hivi vitambi vya hapo navyo vina upendeleo eeeh!! Mbona mimi na wewe hatuna[emoji134] [emoji134]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmh.......!!Hivi hivi vitambi vya hapo navyo vina upendeleo eeeh!! Mbona mimi na wewe hatuna[emoji134] [emoji134]
[emoji85] [emoji85][emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Teh teh........Aah angalia pale juu imewekwa
Teh vipiTeh teh........
AshazeekaItakuwa kaanza kupofuka, hajaiona.
Wazee watamuAshazeeka
Weee hapanaWazee watamu
Teh kina nani hao na wanapataga nini?
Au nawe hautaki kudrive?
Teh tusimulie nini kilimkuta..Kina HS, wanapata magari. 🙂
Huh!, nisitake tena na ninavyopenda, likikosekana la kununua hata la kukodi bathi. Make sure unatimiza ahadi tu.
Kuna mtu alikuwa talked into kwenda kuchukua zawadi, kufika na kilichoendelea.. hana hamu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]..Kina HS, wanapata magari. 🙂
Huh!, nisitake tena na ninavyopenda, likikosekana la kununua hata la kukodi bathi. Make sure unatimiza ahadi tu.
Kuna mtu alikuwa talked into kwenda kuchukua zawadi, kufika na kilichoendelea.. hana hamu.
Apitizer muhimu, yaani tukifika shughuli ni moja tu, kui sasa ndio atatupa shida maana kamezoea vitu laini laini, sijui tukaache tu!!!
Aaaaah nimefuta urafiki na nyie aisee, kumbe ulishakwea pipa kubwa. Mie mpaka wangu ni Tunduma tu, kuanzia leo sitaki ushirikiano na wewe na kui khaaa
Sasa ntakosa ushirikiano mkiongea mambo yenu ya x-pozha..kwa kunifananisha tu, hujamboo. Toka lini msukuma akazoea vitu laini?..OLE WENYU MNIACHE!
Wee, hii damu damu hii, ukinuna huwezi maliza siku, mwenyewe utatumiss. 😀
Teh tusimulie nini kilimkuta
Kulala hukuhuku au? TehMwenzangu aliishia kulala tu na zawadi hakuiona mpaka kesho..
Hata hatutohangaika nae, tunakuwa busy kama hatukaoni, maana katataka sijui uma na kisu, hivi unashibaje kula na vitu vya ajabu hivyo.
Basi nimekumbuka tulikuwa na safari ya kishule ya kwenda Sweeden, mkuu akatupeleka hotelini kutufundisha table maners na matumizi ya ya uma,vijiko na glass mbalimbali, aisee ilikuwa full vicheko. Khaaaah!!! Mambo mengine kuchoshana tu.
Kulala hukuhuku au? Teh
Teh pole yakeImagine kulala hukuhuku. Halafu alikuwa kanunua na nguo mpya ya sikukuu, spesheli, ili apendeze kwa kijana...lol!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]..kwa kunifananisha tu, hujamboo. Toka lini msukuma akazoea vitu laini?..OLE WENU MNIACHE!
Wee, hii damu damu hii, ukinuna huwezi maliza siku, mwenyewe utatumiss. 😀