Mustaphagentleman
JF-Expert Member
- Jun 22, 2016
- 3,953
- 3,022
Wee acha meneno sasambua kama Nguo MnadaniWeee hapana
Jamani mbona sijaiona?
Akija lazima adanganye.Aje athibitishe hapa. Honey Faith
Your the only one Rogie trust me.Achana na maneno ya atoto na wajua jinsi gani nakupendaAje athibitishe hapa. Honey Faith
Mhhhhh?Akija lazima adanganye.
Kabaki tu hako. Afu tukikuta mlenda ndo katatutia aibu kabisa, badala ya kuzungusha tonge katakata mlenda Kwa mkono. Hizi x-pozha sio za sport sport
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
We muache ajitoe ufahamu, alomwambia undugu unavunjwa nani!!
Sikusingizii mtoto laini laini sana wewe, usije ukatuchelewesha maana sisi tukifika pale kazi ni moja tu!!
Hiki kiluga gani?Waha we!!!
Kwahiyo ndio basi tena?
Naachaje kwamfano!!
[emoji125] [emoji125] [emoji125]