Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Kabaki tu hako. Afu tukikuta mlenda ndo katatutia aibu kabisa, badala ya kuzungusha tonge katakata mlenda Kwa mkono. Hizi x-pozha sio za sport sport

Hehe, nitasimama niuvute na ikibidi nitembee mpaka utakapokatikia [emoji2]

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
We muache ajitoe ufahamu, alomwambia undugu unavunjwa nani!!
Sikusingizii mtoto laini laini sana wewe, usije ukatuchelewesha maana sisi tukifika pale kazi ni moja tu!!

We subiri tu, msishangae nitakapowarudi nikawa wa kwanza kumaliza.
 
Back
Top Bottom