Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Haya huo utamu uleni tu wote, me Sitaki kukabwa kooBora tu ulizaliwa kwakweli, maana!!
Hahahaaaa! Unakosa vitamu wewe, mihogo ni mitamu asikwambie mtu.
Teh na huyu uncle magu mwee. Ila msisahau kuja na zawadi maana zawadi yako ndo kiingilio chako.and u beta come with a wonderful gift, maana ukija na isiyoridhisha huingiiKabisa, hela zina matumizi mengi, mwisho wa mwaka wenyewe mgumuuu
"We are very sweet, very nice... If you check our bank accounts. ......
Hahaha wewe si ndege mjanja, basi kiota chako kipo kwa daddy. Sie ndo wanyakiDaah kwenye hicho kipengele nimewanawa, alikuja na gear ya dubai, na hivyo ndege naziona kwenye picha tu acha nidate mjaluo mie, nikajikuta nishaingia miguu na kiwiliwili chooote, kuibuka ilinichukua muda kweli, lkn bado nikajitoa ila moyo ukabaki huko huko, hamfai nyie!
Thanks Douta..U make me feel like i am the only faza in the world..Btw Paulo Sergio De Souz mbona simuoni siku hizi..Any taarifaAnd you are the best thing ever happened to me pops. Thanks heartthrob for the wonderful genes and the young lady you have made out of me. I just love you with every fibre of my being
atoto hope umejua why I'm this msweety, it's in our blood. We were just born romantic.
Teh na huyu uncle magu mwee. Ila msisahau kuja na zawadi maana zawadi yako ndo kiingilio chako.and u beta come with a wonderful gift, maana ukija na isiyoridhisha huingii
Thanks Douta..U make me feel like i am the only faza in the world..Btw Paulo Sergio De Souz mbona simuoni siku hizi..Any taarifa
Bwana paulo yupo nyumbani anafua nepi tu, chezea mnyaki wewe!
Kuwa na imani basi..Mmmmh sitaki tena ahadi zako, huko beach labda ugaramie niende na dota.
And you will always be my darling pops, in this life and the next. Paulo yupo akiingia tu utamuonaThanks Douta..U make me feel like i am the only faza in the world..Btw Paulo Sergio De Souz mbona simuoni siku hizi..Any taarifa
Hahaha labda kama umeandaa penseli (kalamu)We mtoto koma, mie ndio nimeandaa karamu ujue japo hela alitoa baba yako😀
You can't resist us, tunapendwa tu hata kama ni kimya kimya[emoji23] [emoji23] [emoji23]Na ujanja wangu wooooote nikaishia kunasa kwa huyu chotara wa kinyaki tena free p!! Daaah sitaki tenaaa kuwasikia.
unaona raha kunichafuaaaaBwana paulo yupo nyumbani anafua nepi tu, chezea mnyaki wewe!
Ana hila huyo ex mkeoHahaha..Binti yangu sio Van damme kiasi hicho
Teh teh...'NAMPENDA'.....That's all i can seeWezi tu nyie, baba yako alivyonirubuni na maneno yake matamuuu nikaishia kukopwa tu, siyaki hata kumsikia japo nampenda.
Teh teh...Hata we ulinirubuni..Sio kwa mitego ile aiseeNa ujanja wangu wooooote nikaishia kunasa kwa huyu chotara wa kinyaki tena free p!! Daaah sitaki tenaaa kuwasikia.
Thanks sweetheartHappy birthday Heaven Sent
Ahsante sana mkuuHappy birthday bidada,endelea kutumia ndom.