Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Live long lady, may God grants u anew long living life after here,maisha yenye mafanikio tele,
 
Hivi yule chaukorofi mwenzio brenda18 kaenda wapi? Hebu akuje mcheze ekotite
Teh tupo busy tunajiandaa na collabo ya mapinduzi dhidi ya aunt bahati bukuku kwa kutumia sauti zetu za kumtoa simba porini
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana... nakumbuka kuna siku tuliandika tarehe zetu za kuzaliwa ziligongana na yangu na wadau wengine wawili hapa.. in short hata mie leo ndio BD yangu... hongera sana...
Yeah nakumbuka twin broo, happy birthday to you too. Daah ngoja niwakumbuke na wale wengine
 
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako Heaven Sent. Endelea kuwa baraka kwa wana mmu wanaosoma michango yako.
I'm touched darling brod,.. I pray so. I appreciate sana[emoji120] [emoji120] [emoji120]
 
Last edited by a moderator:
Kwani kuzaa kwa uchungu ananisaidia?
Teh yeye anakusababishia tu. Kuna sehemu nimekumention sijui hujaona. Uje ucheke huku ule uzi wa "kwa wanawake tu, furahia mapenzi na umpendaye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…