Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha bure aghali kwa kweliTupatie hela beach taenda na dota, maana we nakujua mchana beach usiku mkesha sitakiiiiii!!
Thanks much mkuuLive long lady, may God grants u anew long living life after here,maisha yenye mafanikio tele,
Teh tupo busy tunajiandaa na collabo ya mapinduzi dhidi ya aunt bahati bukuku kwa kutumia sauti zetu za kumtoa simba poriniHivi yule chaukorofi mwenzio brenda18 kaenda wapi? Hebu akuje mcheze ekotite
Thanks much mkuu
Yeah nakumbuka twin broo, happy birthday to you too. Daah ngoja niwakumbuke na wale wengineHongera sana... nakumbuka kuna siku tuliandika tarehe zetu za kuzaliwa ziligongana na yangu na wadau wengine wawili hapa.. in short hata mie leo ndio BD yangu... hongera sana...
I'm touched darling brod,.. I pray so. I appreciate sana[emoji120] [emoji120] [emoji120]Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako Heaven Sent. Endelea kuwa baraka kwa wana mmu wanaosoma michango yako.
Eeh asiyefanya kazi na asileYaani we acha tu, baba yako mchungu hela yake haiendi bure bure, anahakikisha imetumika ipasavyo.
Heri ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwako Heaven Sent. Endelea kuwa baraka kwa wana mmu wanaosoma michango yako.
Ahsante sana deomremaHongera Heaven Sent
Teh yeye anakusababishia tu. Kuna sehemu nimekumention sijui hujaona. Uje ucheke huku ule uzi wa "kwa wanawake tu, furahia mapenzi na umpendayeKwani kuzaa kwa uchungu ananisaidia?