Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

Heri ya siku ya kuzaliwa Heaven sent

shemdarling atoto miss you mingi sana, why mmenipa bia nyingi mpaka nimelewa, na je ndugu yangu Asprin bado yuko chobingo na mzinga wake? koh koh

Mweeeh yaani nyie vizee siwaaliki tenaaaa!
 
Last edited by a moderator:
Weee huyo RR ana gari tangu lini? kwani wewe huna gari? Kujishaua kote kule khaaa kumbe tunanusishana tu vikwapa kwenye hiace na mimi mmmh

Mie nilikuambia nina magari ma4 ya mabox, hivi unamchukulia poa rrondo wewe?
 
shemdarling atoto miss you mingi sana, why mmenipa bia nyingi mpaka nimelewa, na je ndugu yangu Asprin bado yuko chobingo na mzinga wake? koh koh

Alyekwambia niko chobingo ana mamlaka ya kiibilisi. Mtumishi wa Mungu niko madhabahuni nawaombea watu wafutiwe dhambi zao.... hasa za uzinzi.

Hivi sasa niko bize kujiandaa na safari ya kushtukiza kwa huyu mrembo Heaven Sent. Nataka nijue kama vyakula na vyote vitumikavyo vimefuata maadili na masharti ya manunuzi au kuna ufisadim juu yake.

Baada ya kusema hayo, sote kwa pamoja tusimmame kumwombea maisha mema na marefu huyu kiumbe mzaliwa leo.

Mwenyezi Mungu amjalie maisha mema na marefu... awashuhudie wajukuu wa wajukuu zake wakigombania chakula kwenye meza yake.

Grow wise Heaven Sent
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom