Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
Ahsante sana mpendwa, Barikiwa piahappy belated birthday mkuu barikiwa..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante sana mpendwa, Barikiwa piahappy belated birthday mkuu barikiwa..
Hahahahaha ausindilieeeeeee!!!!Konyo wewe[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Hivi umewahi kufika kule? Ukienda hutotomani kurudi.
Ooooooh
Si nimekuuliza wewe mtoto jamani?Ooooooh
Ndo nishakujibuSi nimekuuliza wewe mtoto jamani?
Unaongea na mimi au unaongea na simu[emoji38] [emoji38]Hivi haya majibu umerithi au kuna mahali unajifunza dota? kui ananiharibia mtoto.
Niko kimya lakini mwaliko sikatai, teh!Wewe ndio uko kimya bwana.
Hahah sisi tupo banaMungu anaendelea kutupa bure pumzi yake, tuko poa sister
Wapi sikukuu, naona siku zinayoyoma tu uko kimya pamoja na sista atoto teh
Ahsante sana baba wa kamboHappy birthday Heaven Sent, Mungu akujalie miaka zaidi yenye furaha, upendo na amani.
Hahahaha.......tushaachana na huyo mother ako atoto nilitaka awe kamchepuko kangu lkn nikaona hana muelekeo bado anampenda baba yako acha tu nirudi kwa mama watoto Honey FaithAhsante sana baba wa kambo
Mmmh mbona ni kama umemuacha nyani ukaenda kwa ngedere[emoji23] [emoji23]Hahahaha.......tushaachana na huyo mother ako atoto nilitaka awe kamchepuko kangu lkn nikaona hana muelekeo bado anampenda baba yako acha tu nirudi kwa mama watoto Honey Faith
uuuh! hatari sana, kwani huyo Honey Faith naye yupo na kijeba tayari? mimi nahisi nina damu ya pimbi ya kukataliwa.Mmmh mbona ni kama umemuacha nyani ukaenda kwa ngedere[emoji23] [emoji23]
Teh teh...Unajifanya chizi ehee??...Nipo..Ukinimiss si unajua pa kunipata
[emoji36][emoji36] Kuna mahali nilisoma sikumbuki ni wapi Madame B anasema Atoto alimuibia msela wake MO nani sijuiTatizo umenifungia milango.