Metronidazole 400mg
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 941
- 2,062
Leo mtani wetu klabu ya Yanga imetimiza miaka kadhaa tangu kuanzishwa,,
ingawa imeangukia siku mbaya baada ya Jana kuangukia pia baada ya kutoa sare na Jkt ya masau bwire ila ndio hivyo maisha lazima yaendelee TU hakuna namna.
Nawaza TU hapa sherehe na shamra shamra zitafanyika kweli??, au mtapotezea TU ndugu zangu utopolokwinyo??
Happy birthday mtani, tukutane baadae kuona soka safii la kuisindikiza siku yenu hii muhimu leo
ingawa imeangukia siku mbaya baada ya Jana kuangukia pia baada ya kutoa sare na Jkt ya masau bwire ila ndio hivyo maisha lazima yaendelee TU hakuna namna.
Nawaza TU hapa sherehe na shamra shamra zitafanyika kweli??, au mtapotezea TU ndugu zangu utopolokwinyo??
Happy birthday mtani, tukutane baadae kuona soka safii la kuisindikiza siku yenu hii muhimu leo