Heri ya Siku ya Mtoto wa Afrika 16 Juni, 2024

Heri ya Siku ya Mtoto wa Afrika 16 Juni, 2024

Dkt. Gwajima D

Minister
Joined
Nov 28, 2015
Posts
966
Reaction score
6,019
Wazazi na Walezi Salaam.

Nawakumbusha kuwatakia Watoto wenu wote chini ya umri wa miaka 18 Heri ya Siku ya Mtoto wa Afrika Leo Juni, 2024.

Wapeni Wosia kuwa: wamshike Sana Elimu, wasimuache aende zake....๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿคโœ๐Ÿป

Zaidi ya yote tuseme nao kuhusu janga la ukatili dhidi yao, tusiwaonee aibu maana, katika ukimya wetu ndiyo adui hupita kwa urahisi maana fahamu zao hazistuki hadi wameumizwa. Ila na wazazi hatuko karibu na watoto kwenye ajenda hii hadi mtoto ameshaumia siyo mara moja ndiyo tunastuka.

Haya tushirikiane. Heri ya Siku ya Mtoto wa Afrika 2024...

IMG-20240616-WA0032.jpg
IMG-20240602-WA0040.jpg
 
Mtoto wa Mwashamba nimemuona ana bubujikwa na machozi baada ya kuambiwa na Mama Samia kuwa amechora blue badala green๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mengine mtaumiza kichwa na kulalamika bure na kumlaumu rais

Maisha hayako sawa na hayawezi kuwa sawa, tofauti lazima ziwepo mwenye nacho na asiye nacho, mweupe mweusi, mrefu mfupi n.k
 
mimi nakukubali sana waziri wangu. Ningependa kukushauri baada ya siasa uingie kwa Lamata, utakuwa bonge la star la maigizo hasa scene za kulia, maana lile yowe la bungeni sio la nchi hii.
 
Mtoto wa Mwashamba nimemuona ana bubujikwa na machozi baada ya kuambiwa na Mama Samia kuwa amechora blue badala green๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Huyo yupo zake Buguruni anaendesha mapira huko hawezi kupelekwa hapo.
 
Wazazi na Walezi Salaam.

Nawakumbusha kuwatakia Watoto wenu wote chini ya umri wa miaka 18 Heri ya Siku ya Mtoto wa Afrika Leo Juni, 2024.

Wapeni Wosia kuwa: wamshike Sana Elimu, wasimuache aende zake....๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ๐Ÿคโœ๐Ÿป

Zaidi ya yote tuseme nao kuhusu janga la ukatili dhidi yao, tusiwaonee aibu maana, katika ukimya wetu ndiyo adui hupita kwa urahisi maana fahamu zao hazistuki hadi wameumizwa. Ila na wazazi hatuko karibu na watoto kwenye ajenda hii hadi mtoto ameshaumia siyo mara moja ndiyo tunastuka.

Haya tushirikiane. Heri ya Siku ya Mtoto wa Afrika 2024...

View attachment 3018472View attachment 3018473
Dokta ndiyo kusema hufahamu na sisi akina baba leo ni siku yetu!! Usitubague bhana
Na sisi pia tunastahili kupewa maua ๐ŸŒท๐Ÿ’๐ŸŒน yetu.
 
Back
Top Bottom