kingundya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 2,000
- 3,352
Jirekebishe tu maana mambo yanawezakuwaengi zaidiDah! basi nitajirekebisha!..😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jirekebishe tu maana mambo yanawezakuwaengi zaidiDah! basi nitajirekebisha!..😅
Nashukuru sana! nilikuwa bize Arusha... nimerudi meno yote yanauma kwa kula nyama😉😉Nakutakia siku ya wanawake bibie Angel Nylon majoto ngara23 naomba Simba wasiingize timu uwanjani kwani Leo ni sikubya wanawake.
Watu wapenda nyama mithili ya fisi wameshakupiga kijicho wakati unasakata nyama.Nashukuru sana! nilikuwa bize Arusha... nimerudi meno yote yanauma kwa kula nyama😉😉
Hangover za limbwata zimeanza kupungua. Naomba tu huyu mama asiende kuongeza dozi, licha ya kwamba samtaimzi limbwata lina raha yake, hata ndugu ukiwanyima hela, lawama zinaenda kwa mwanamke, hata kama kwenye hiyo Hela hajapata hata miaAsante bestie Bujibuji Simba Nyamaume hii siku ya wanawake haiwezi kukamilika bila nyie wanaume wa shoka, kwa hiyo nawapa kwanza pongezi maana ndio mnatufanya sisi tuwe wanawake na tusimame kwenye nafasi zetu
Hata mimi nimekumiss, hivi sikuhizi umehamia chimbo gani? Au bado una hang'over za limbwata?
Ndugu wa mume ni shidaHangover za limbwata zimeanza kupungua. Naomba tu huyu mama asiende kuongeza dozi, licha ya kwamba samtaimzi limbwata lina raha yake, hata ndugu ukiwanyima hela, lawama zinaenda kwa mwanamke, hata kama kwenye hiyo Hela hajapata hata mia
Ndio maana wamama huwaafundisha watoto wako kwamba mashangazi ndio wabaya, wababa mkubwa hawana upendo, bibi upande wa baba ni mchawi sana, ila Babu mzaa baba yenu ni mtu mwema sana ila anarogwa sana na mkewe ambaye ni bibi yenu.Ndugu wa mume ni shida