Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utajijua bibie babu mjini hakunaga wewe nikitu yakeee ndio unakula mema ya nchiTate Mkuu mkeo ananichamba.
Wewe susa ili hela zake nile mwenyewe.Utajijua bibie babu mjini hakunaga wewe nikitu yakeee ndio unakula mema ya nchi
Unaona ushindwee ulegee wewe ni mke mwenzaa weweeee hela hiziiiWewe susa ili hela zake nile mwenyewe.
Hujakoma kulogwaNipo hapa na mrembo machachari wa jf, tunachoma utumbo wa mbuzi na togwa kwa pembeni.
Tuwatunze na tuwapende pia, hasa wale wasio omba omba na ya kutolea.
ha ha ha sogea karibu uje upate mvinyoHujakoma kulogwa
Utachanganyikiwa mwaka huu wewe ndio kitu yakeTate Mkuu njoo umpe huyu laana.
Sitaki watu ambao hawajitambui wazee usije ukanifia mieha ha ha sogea karibu uje upate mvinyo
Asante dearAaliyyah Shuqraan sana kipenzi changu, unajua namna Mimi na wewe tulivyokutana sivyo..??
tusingekuwa na hekima leo tusingekuwa hapa..!!
Nakupenda cha upole wangu..!!❤️❤️
KabisaThank you dearest Sophy
Happy women's day to all women out there
Sisi ni jeshi kubwa.
photos.app.goo.gl
😂😂😂😂😂😂Leo wana shughuli yao wanahofia vitenge walivyoshona vya sare watavivalia wapi wasipovivaa leo, wakikubali tu kuleta timu uwanjani tunawaharibia siku yao.
Leo ni siku yetu – Siku ya Wanawake! Ni siku ya kutafakari juu ya safari yetu, nguvu zetu, na mchango wetu kwa jamii. Wewe ni shujaa, mwenye bidii, na mwenye thamani kubwa. Changamoto unazopitia ni ushahidi wa uvumilivu na uwezo wako wa kushinda kila hali.
Heri ya Siku ya Wanawake!
Mshangazi dot com Depal
Joanah Saint Anne Carleen
Lamomy binti kiziwi Joannah
Na wengine wote muwe na siku njema vipenzi 😊😊😊
Salamu zangu zinaenda kwa hawa.
Demi
pole kwa kuteseka na mapenzi!.
ephen_
Tunza kizazi wewe bado mtoto sana mapenzi yanaua!.
Aaliyyah
Nakupenda japo hupendeki!
Evelyn Salt
Uko wapi..?
Miss Natafuta
i love you so much!.
Joanah
Nakupenda, nateseka na penzi lako!
FaizaFixy
Love you baby wangu wanguvu!
Mliobakia heri ya wanawake ujumbe msijibebeshe mizigo na kujilinganisha na sisi wanaume fanyeni kwa nafasi yenu!..😎
Leo ni siku ya wanawake duniani, hizi ni salaam zangu za siku hii, Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake Acheni Kubwetekea Kubebwa. Viti Maalumu ni Kubebwa, Je Tuvifute. Wanawake Mjibebe?, Au Mnapenda Uroda wa Kubebwa?.
Nawatakia wanawake wote wa TiZii
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.
Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.
![]()
New item by Pascal Mayalla
photos.app.goo.gl
View: https://youtu.be/oezcYCl60OI?si=MI6vvCGOptf82N8b
RIP Mama MKwe wangu.
Paskali