Heri ya Siku ya Wanawake Duniani. Una zawadi kwa Wanawake uwapendao? Watumie hata salamu

Heri ya Siku ya Wanawake Duniani. Una zawadi kwa Wanawake uwapendao? Watumie hata salamu

Na ndo maana hadi kufikia hii siku tayari nina kitu changu cha kuniingizia pesa 😝bila kumtegemea huyu kiumbe
 
Nipo hapa na mrembo machachari wa jf, tunachoma utumbo wa mbuzi na togwa kwa pembeni.
Tuwatunze na tuwapende pia, hasa wale wasio omba omba na ya kutolea.​
 
Naitakia Yanga SC heri ya siku ya wanawake
 
  • Kicheko
Reactions: EEX
Aaliyyah Shuqraan sana kipenzi changu, unajua namna Mimi na wewe tulivyokutana sivyo..??
tusingekuwa na hekima leo tusingekuwa hapa..!!
Nakupenda cha upole wangu..!!❤️❤️
Asante dear
Hekima ni muhimu Sana kwakweli
Mimi nashukuru Kwa kuniamini najua haikuwa rahisi kipenz
Nakupenda pia Mungu azidi kutubariki
Happy women's day mama
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, hizi ni salaam zangu za siku hii, Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake Acheni Kubwetekea Kubebwa. Viti Maalumu ni Kubebwa, Je Tuvifute. Wanawake Mjibebe?, Au Mnapenda Uroda wa Kubebwa?.

Nawatakia wanawake wote wa TiZii
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.

Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.


View: https://youtu.be/oezcYCl60OI?si=MI6vvCGOptf82N8b

RIP Mama MKwe wangu.

Paskali
 
Leo ni siku yetu – Siku ya Wanawake! Ni siku ya kutafakari juu ya safari yetu, nguvu zetu, na mchango wetu kwa jamii. Wewe ni shujaa, mwenye bidii, na mwenye thamani kubwa. Changamoto unazopitia ni ushahidi wa uvumilivu na uwezo wako wa kushinda kila hali.


Heri ya Siku ya Wanawake!
Mshangazi dot com Depal
Joanah Saint Anne Carleen
Lamomy binti kiziwi Joannah
Na wengine wote muwe na siku njema vipenzi 😊😊😊

Happy women's day
Sisi ni wa thamani

Bro Evelyn Salt karibu tusheherekee japo siku haikuhusu
 
Salamu zangu zinaenda kwa hawa.

Demi
pole kwa kuteseka na mapenzi!.

ephen_
Tunza kizazi wewe bado mtoto sana mapenzi yanaua!.

Aaliyyah
Nakupenda japo hupendeki!

Evelyn Salt
Uko wapi..?

Miss Natafuta
i love you so much!.

Joanah
Nakupenda, nateseka na penzi lako!

FaizaFixy
Love you baby wangu wanguvu!

Mliobakia heri ya wanawake ujumbe msijibebeshe mizigo na kujilinganisha na sisi wanaume fanyeni kwa nafasi yenu!..😎

Kuna mabroo kadhaa umewamix kwenye list yako

Enwei,asante KENZY
Penzi langu likutese siku zote ameeen
 
Leo ni siku ya wanawake duniani, hizi ni salaam zangu za siku hii, Siku ya Wanawake Duniani: Wanawake Acheni Kubwetekea Kubebwa. Viti Maalumu ni Kubebwa, Je Tuvifute. Wanawake Mjibebe?, Au Mnapenda Uroda wa Kubebwa?.

Nawatakia wanawake wote wa TiZii
Heri ya siku ya Wanawake Duniani.

Tena, by the way, naombeni mnipe pole, tumempoteza mmoja wa wanawake muhimu sana kwenye maisha yangu, tumempoteza mama mzaa Chema wangu, ameitwa kwa Muumba wake, akiwa Babati, tunampumzisha kwenye makao yake ya milele siku ya Jumatatu katika kijiji cha Gendi kwenye malalo ya ukoo wao.


View: https://youtu.be/oezcYCl60OI?si=MI6vvCGOptf82N8b

RIP Mama MKwe wangu.

Paskali

Pole sana
Mungu awatie nguvu na kuwapa faraja.

May her soul rest in eternal peace.
 
Back
Top Bottom