Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Nitakufaje" hakuna ajuayeMtu yeyote anayefia kwenye basi hana hela huyo
Kwa hiyo kuwa rafiki wa Raila ndio kila mtu anamfahamu?Huyu Odemba alikuwa mfanyabiashara. Miriam nadhani ni ndugu yao. Huyu mtu alikuwa rafiki sana na Raila,Raila alipokuwa na kesi Mahakamani kupinga matokeo ya Uchaguzi,huyu mtu alikuwa Nairobi pamoja na Team Rsila.
Una umri gani?Mtu yeyote anayefia kwenye basi hana hela huyo
Hayo ni mawazo yako wewe masikini... Mwingine anasafiri kwa basi kama sehemu ya Utalii...ana enjoy mandhari ya nchi tofauti na akiwa kwenye ndegeElewa point,hakuna tajiri anasafiri kwa basi umbali huo,
Who is he?Sijui wangapi walikuwa wanamfahamu Odemba, kifo kimetokea siku nne zilizopita.
Alikuwa anasafiri ndani ya basi kwenda Arusha, alipofika Mombo akaugua, akapata low blood pressure, akapelekwa hospitali Mombo, hali yake ikazidi kuwa mbaya and he passed away.
Mwili wake ukasafirishwa na ambulance ukaletwa Dar Es Salaam hospitali ya Lugalo. Kesho asubuhi itafanyika service pale Lugalo ya kuuaga mwili, na kesho utapelekwa Musoma kwa mazishi.
Hao ndio wanaofiaga gesti za buku tano.Je, Kifo kina taarifa au Wewe unajua utakufaje??, Omba toba mapema usijepata kifo cha aibu.
Odemba ni big family wilaya ya Rorya kijiji cha Buturi wao ndio wamiliki wa jina hilo.R.I.P
Odemba tunaemfahamu ni Miriam odemba je wana undugu?
Umekaririshwa vibaya sanaMtu yeyote anayefia kwenye basi hana hela huyo
Thus salimia kila mtu uliyenae jirani ndie msaada wako kabla ya ndugu.Alale salama! Kifo katikati ya safari.. Watu wa mwisho kuwa nawe ni watu baki! Hakuna ndugu hakuna marafiki hakuna familia[emoji848][emoji25]
R.I.P mwambaSijui wangapi walikuwa wanamfahamu Odemba, kifo kimetokea siku nne zilizopita.
Alikuwa anasafiri ndani ya basi kwenda Arusha, alipofika Mombo akaugua, akapata low blood pressure, akapelekwa hospitali Mombo, hali yake ikazidi kuwa mbaya and he passed away.
Mwili wake ukasafirishwa na ambulance ukaletwa Dar Es Salaam hospitali ya Lugalo. Kesho asubuhi itafanyika service pale Lugalo ya kuuaga mwili, na kesho utapelekwa Musoma kwa mazishi.
Watu wanaokota vipicha na caption facebook wanaleta humu bila detailsUkiona huna taarifa za kumfanya mwingine aelewe unachoongea, better to quit
Hakuna raha kama kusafiri na private car safari ndefu, we ulishaona wapi tajiri yuko Mbezi stend anapanda KimbinyikoHayo ni mawazo yako wewe masikini... Mwingine anasafiri kwa basi kama sehemu ya Utalii...ana enjoy mandhari ya nchi tofauti na akiwa kwenye ndege
Watu wanaokota vipicha na caption facebook wanaleta humu bila detail
Acha kutafuta attention mpuuzi weweMtu yeyote anayefia kwenye basi hana hela huyo,ndege zimejaa??private car mbovu??
Mkuu zako zikiisha wadia utafia hata kwenye ndege tena utakufwa vizuuri tu ndege ikiwa anganiMtu yeyote anayefia kwenye basi hana hela huyo,ndege zimejaa??private car mbovu??
Yule mtu anaagiza ng'ombe kutoka Misri. Ngiyo kati ya biashara alizokuwa anafanya.Mkuu zako zikiisha wadia utafia hata kwenye ndege tena utakufwa vizuuri tu ndege ikiwa angani