Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Serikali imedumaza bongo zetu kwa kuweka kodi kubwa na kuamini ukiwa na gari ni Tajiri kumbe ni chombo kama vyombo vingine vinavyorahisha maisha...Mtu yeyote anayefia kwenye basi hana hela huyo,ndege zimejaa??private car mbovu??