TANZIA Hermann Odemba afariki dunia

Who is he?
 
Alale salama! Kifo katikati ya safari.. Watu wa mwisho kuwa nawe ni watu baki! Hakuna ndugu hakuna marafiki hakuna familia[emoji848][emoji25]
Thus salimia kila mtu uliyenae jirani ndie msaada wako kabla ya ndugu.
 
R.I.P mwamba
 
Hayo ni mawazo yako wewe masikini... Mwingine anasafiri kwa basi kama sehemu ya Utalii...ana enjoy mandhari ya nchi tofauti na akiwa kwenye ndege
Hakuna raha kama kusafiri na private car safari ndefu, we ulishaona wapi tajiri yuko Mbezi stend anapanda Kimbinyiko
 
Mkuu zako zikiisha wadia utafia hata kwenye ndege tena utakufwa vizuuri tu ndege ikiwa angani
Yule mtu anaagiza ng'ombe kutoka Misri. Ngiyo kati ya biashara alizokuwa anafanya.
Alikuwa anaishi katika hoteli tu. Yaani anaishi katika hoteli kama weer unavyokwenda kulala nyumbani kwako kila siku.

Ukimtafuta hauulizi nyumbani kwake wapi, unauliza yuko katika hoteli gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…