Hersi na GSM wamemaliza kazi yao

Hersi na GSM wamemaliza kazi yao

Kunywa supu upunguze hasira.
Mimi sina hasira ila umepata hasira ulipogundua kichwa kimebaki kitupe akili zipo kwenye mfuko wa Hersi jifunze kuchukulia vitu kawaida sio kila jambo unapanic!
 
Mimi sina hasira ila umepata hasira ulipogundua kichwa kimebaki kitupe akili zipo kwenye mfuko wa Hersi jifunze kuchukulia vitu kawaida sio kila jambo unapanic!
Nani kapanic,wewe ndiye uliyepanic mpaka ukaleta uzi.

Unaona hawa wenzako wamechukulia kawaida tu.
Screenshot_20231112_114203_Instagram.jpg
 

Attachments

  • 8A7223C5-78A3-48C2-903C-E601C8FDE698.jpeg
    8A7223C5-78A3-48C2-903C-E601C8FDE698.jpeg
    20.3 KB · Views: 1
Hadithi za watu wa kale walikuwa wanasema wakoloni wanapotaka kufukia mali zao walitumia mazindiko ya kuwazika watu hai,sasa hii karne ya sasa Gsm na Hersi wamewamaliza na kuwachukulia akili zao watu wa uto kuanzia leo hata mambo yaende kombo mashabiki wa uto watakua hawana uwezo wala kauli wamefunikwa na kufumbwa mdomo kabisa kwa kupewa nyama za fisi!View attachment 2811255View attachment 2811256View attachment 2811257
Lengo ni kuwakumbussha mashabiki wa yanga majukumu yao na kuwafurahisha, This is what we call get together
 
Hersi ametisha Sana supu ni tamu Sana ukinywa baada ya kupiga khamsa Makolokwinyo ila kwangu Mimi bado Hersi hajamaliza kazi.

Bado tunamtaka Eng Hersi amsajili Kibu Denis awe mwananchi ili kuizika rasmi Simba! Goli la kichwa alilotufunga mbele ya ukuta wa Berlin wa Yanga derby ya juzikati ni goli classic ila kosa lake ni kutuchokoza kwa kutoa ishara ya kutufunga mdomo Simba wakala khamsa 5G! Hivi Sasa jezi wanapigia deki!! Ukisema khamsa unakula makonde jamaa wamejaa sumu!! Hersi Mtu mbad sana eti ye alitaka Makolokwinyo wapigwe goli tano tu japo wachezaji walimwambia wana uwezo wa kuigeuza Simba ile kuwa Simba Queens na kuitungua goli za netiboli kuanzia tisa hadi dazeni 12!! Eti waliwaonea huruma tu kwa zile khamsa!!

Imagine na Yanga hii ya moto Kibu awe pale mbele na Max Nzegeli na Ki Aziz, Simba wangekula wiki (7-0)!
Kibu mtu ila sidhani kama watakubali kumuachia ngoja kocha mpya aje amuweke benchi hadi achoke aombe kuondoka tumchukue dirisha dogo
 
Lengo la uzi ni kuonyesha uto wote akili zimekwenda na majungu ya supu mnaning'inia tu hivi sasa!
Kwa akili zenu zilivyo ndogo Kolo FC ndio maana mkaletea Manzoki kama msimamizi wa uchaguzi na kura mkampa Mangungu.
 
mkuu wewe ulitegemea ng'ombe 10 watengenezewe zizi hapo Dar au? mbona akili yako finyu sana?
 
Hadithi za watu wa kale walikuwa wanasema wakoloni wanapotaka kufukia mali zao walitumia mazindiko ya kuwazika watu hai,sasa hii karne ya sasa Gsm na Hersi wamewamaliza na kuwachukulia akili zao watu wa uto kuanzia leo hata mambo yaende kombo mashabiki wa uto watakua hawana uwezo wala kauli wamefunikwa na kufumbwa mdomo kabisa kwa kupewa nyama za fisi!View attachment 2811255View attachment 2811256View attachment 2811257
huo ni ujinga unaokusumbua,yanga imejengwa na inazidi kujengwa kimfumo,mawazo ya kipuuzinjama hayo unayo wewe na wajinga wenzio
 
Back
Top Bottom