Hersi Said ni tatizo Yanga;machoni kama mtu ila ana roho mbaya,makocha na wachezaji hawampendi

Hersi Said ni tatizo Yanga;machoni kama mtu ila ana roho mbaya,makocha na wachezaji hawampendi

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Ukimuangalia sura yake kwa kuzoom utaona chembechembe za kiburi na dharau.

Feitoto alisema bayana ila wako wengi tu hawamkubali,kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji.

Acha kiburi ba majivuni mdogo wangu
 
Screenshot_20230618-170052.png
 
Jangwani kunateketea kwa sasa kuna hitaji maji mafuta ya Mwamposa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Simba inasajili mchezaji Mtibwa iliyempeleka kwa mkopo, kuna nini tena hapo?

Huu muda mnaongaika na Yanga ndio muda wa Kujenga timu yenu lakini mnajifyatua akili, sasa baadaye tusisikie eti bahasha za GSM.
 
Huyu si ndiye aliyewaita utopolo wala mihogo na akawa anamlazimisha feitoto ale ugali kwa sukari? Jamaa ana roho mbaya sema tu nikwavile Kule utopoloni wenye akili ni wawili tu . Sunday Manara na Kikwete . Vinginevyo angekuwa ameshatimuliwa.
 
Ukimuangalia sura yake kwa kuzoom utaona chembechembe za kiburi na dharau.

Feitoto alisema bayana ila wako wengi tu hawamkubali,kuanzia benchi la ufundi mpaka wachezaji.

Acha kiburi ba majivuni mdogo wangu
Sasa umeongea kitu gani?
Una fact yoyote au jst blaablaa?

Funguka tujue pa kuanzia.

Huenda alikupigia mke unataka wote tumchukie?
 
Sasa umeongea kitu gani?
Una fact yoyote au jst blaablaa?

Funguka tujue pa kuanzia.

Huenda alikupigia mke unataka wote tumchukie?
Unawaza kuchapiwa tu,kama kuchapiwa kachapiwa feitoto
 
Back
Top Bottom