Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
J" anapenda ngono (Julius ) N" kicheche (Nyerere) alikufa kwa mkanda Wa Jeshi. Hahahhaah
Acha Ushirikina.
Inamaana Jesus na Jacob walikuwa wapenda ngono?
Hii ni laana kwako,shauri yako,si ku google kila kitu na kuiga,wenzio hawana dini hao wanakupoteza
Mimi ni A na M. Ila nachapa kazi sana ila ninaaibu sana. Nadhani umechemka
Huwa siamini katika Ushirikina wala Nyota.
J- anapenda ngono=Jakaya
K- m'bishi=Kikwete
A- mcheshi
B- mtembezi
C- mkosaji
D- msema kweli
E- mgomvi
F- mgombanishi
G- mcha mungu
H- mchapa kazi
I- mgumu kuelewa
J- anapenda ngono
K- m'bishi
L- anapenda kujua mambo
M- hodari
N- kicheche
O- mtulivu
P- mjanja
Q- mvivu
R- mzuri na mtundu chumbani
S- msaliti
T- anajua kunyenyekea
U- msafi
V- anapenda starehe
W- ana wivu
X- anapenda mapenzi
Z- mtanashati
haya niambie wewe uko herufi gani!!!
Ukibisha we jeuriii...au andamana
J" anapenda ngono (Julius ) N" kicheche (Nyerere) alikufa kwa mkanda Wa Jeshi. Hahahhaah
Huwa siamini katika Ushirikina wala Nyota.
J- anapenda ngono=Jakaya
K- m'bishi=Kikwete
A- mcheshi
B- mtembezi
C- mkosaji
D- msema kweli
E- mgomvi
F- mgombanishi
G- mcha mungu
H- mchapa kazi
I- mgumu kuelewa
J- anapenda ngono
K- m'bishi
L- anapenda kujua mambo
M- hodari
N- kicheche
O- mtulivu
P- mjanja
Q- mvivu
R- mzuri na mtundu chumbani
S- msaliti
T- anajua kunyenyekea
U- msafi
V- anapenda starehe
W- ana wivu
X- anapenda mapenzi
Z- mtanashati
haya niambie wewe uko herufi gani!!!
Ukibisha we jeuriii...au andamana
Ukisikia upuuzi basi ndo huu. Hv kuna mtu kweli jina lake linaanza na q?