Governor of Bettors-GB
JF-Expert Member
- Jul 14, 2013
- 10,568
- 9,710
Ukisikia upuuzi basi ndo huu. Hv kuna mtu kweli jina lake linaanza na q?
Freeman - Mgombanishi
Slaa - Msaliti
Wilbrod - Anawivu
Sugu - Msaliti
Zitto - Mtanashati
Ibrahim - Mgumu Kuelewa
Seif -Msaliti
Juma - Anapenda Ngono
Jusa - Anapenda Ngono
Mwigulu - Hodari
Ndio maana kumbe wamegomea katiba
Polisi msinitafute ni burudani tu,mkamateni alieleta uzi
J. Ila nimeokoka neema ya Mungu huondoa tabia za kimwili
J" anapenda ngono (Julius ) N" kicheche (Nyerere) alikufa kwa mkanda Wa Jeshi. Hahahhaah
Huwa siamini katika Ushirikina wala Nyota.
J- anapenda ngono=Jakaya
K- m'bishi=Kikwete
A- mcheshi
B- mtembezi
C- mkosaji
D- msema kweli
E- mgomvi
F- mgombanishi
G- mcha mungu
H- mchapa kazi
I- mgumu kuelewa
J- anapenda ngono
K- m'bishi
L- anapenda kujua mambo
M- hodari
N- kicheche
O- mtulivu
P- mjanja
Q- mvivu
R- mzuri na mtundu chumbani
S- msaliti
T- anajua kunyenyekea
U- msafi
V- anapenda starehe
W- ana wivu
X- anapenda mapenzi
Z- mtanashati
haya niambie wewe uko herufi gani!!!
Ukibisha we jeuriii...au andamana