Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Hahaha!.Subiri kwanza.
Hapo pa ku joke haupo serious na mahusiano naomba kuuliza.
Unatoa hautoi?
Kama unaliwa jamani si serious hapo ama mnacheza Cha Baba na Mama ukubwani?
Na kweli Acha wacheze tu waonjane.Hahaha!.
Bibi acha vijana wacheze kiutani utani!. Siyo lazima wawe seroious!. Wanaonjana tu!.
Hauliwi kwenye jokes bna.utaliwaje??Subiri kwanza.
Hapo pa ku joke haupo serious na mahusiano naomba kuuliza.
Unatoa hautoi?
Kama unaliwa jamani si serious hapo ama mnacheza Cha Baba na Mama ukubwani?
F sijawai mkuuVipi kuhusu F mkuu?
Hebu sema chochote na roho yangu itulie.
Hujawai kuwa na mwanaume mtu wako saaana besti saana lakini hamfanyi???Subiri kwanza.
Hapo pa ku joke haupo serious na mahusiano naomba kuuliza.
Unatoa hautoi?
Kama unaliwa jamani si serious hapo ama mnacheza Cha Baba na Mama ukubwani?
Binafsi niko humble na romantic sana...F sijawai mkuu
Siku hizi Kila mtu ana hela zake bwana kuna mwanaume wa kuchuna basi mwanamke ukikaa useme usubirie kuchuna utateseka Sana mi naonaga maisha Kila mtu atafute hela zakeNikataka nishangae.
Ila mnawachuna?
Mnawaacha salama kweli bila kutoboa mifuko yao?
Kama hakuna kukulana Compact jiandae. [emoji1787][emoji1787][emoji2960][emoji2960]
E wahuni Sana yaani nyie na k damu damu hatareeBinafsi niko humble na romantic sana...
Aigize muvi zoote, vichekesho, action sawaUnatoa hautoi?
Ubarikiwe sana.Binafsi niko humble na romantic sana...
Mkuu mimi sio E ni FE wahuni Sana yaani nyie na k damu damu hataree
My best of friends ni wanaume.Hujawai kuwa na mwanaume mtu wako saaana besti saana lakini hamfanyi???