Hesabu hazidanganyi: Ni kwanini Diamond kadanganya kafikisha views milioni 10 ndani ya siku saba?

Hata kama ni siku nane, bado bwana mdogo ameweka rekodi ya kibabe sana kusepa na Kijiji cha viewers milioni kumi ndani ya siku nane....katuletee video ya msanii mwingine nchini Tanzania ambayo imewahi weka rekodi konki kama hiyo dingilai.
 
Hata kama ni siku nane, bado bwana mdogo ameweka rekodi ya kibabe sana kusepa na Kijiji cha viewers milioni kumi ndani ya siku nane....katuletee video ya msanii mwingine nchini Tanzania ambayo imewahi weka rekodi konki kama hiyo dingilai.
Diamond yupo mbali sana mkuu, hilo hakuna anaebisha

Tatizo ni dogo tu hapo ilibidi aweke siku 8 badala ya kusema ni ndani ya wiki.

Mbali na hapo, jamaa kweli ni simba ambae sio leo wala kesho hii rekodi kua mtu ataivunja
 
Diamond yupo mbali sana mkuu, hilo hakuna anaebisha

Tatizo ni dogo tu hapo ilibidi aweke siku 8 badala ya kusema ni ndani ya wiki.

Mbali na hapo, jamaa kweli ni simba ambae sio leo wala kesho hii rekodi kua mtu ataivunja
Kwani siku ya tar 8 ilikuwa inatimia kwa masaa 12 kwanini uiite siku iliyotumiwa nawakati haikuisha na View wakafikiwa 10
 
Diamond kasema kafikisha "ndani ya siku saba" sio "ndani ya siku ya saba" hivyo vitu ndio unachanganya
Hii inaonesha hujui kabisa maana ya neno "within' alilotumia Diamond, Huenda nae kingereza kimempiga chenga.

Within 7 days maana yake ni muda usiozidi siku ya saba, mfano kidogo tu
 
Mzee baba kwan we ukiambiwa huyu mtoto ni mwanafunzi ana miaka 17 hvo hajafikisha miaka 18 ili awe huru kugegedwa, unaelewa nini?

Jiangalie unachungulia 30 jela bila kujijua kwa huo mtazamo wako,.

Hata kama bado miezi miwili afikishe 18, huyo haesabiki kama ana miaka hiyo.. Atahesabika ana miaka 17
Mbona ni hesabu ndogo tu hii? Basi kaikosoe na youtube kwa kuandika "1 week ago" wakati wimbo upo wiki ya pili sasa
 
kiin
Kiingereza chako kipo icu, hakika tz kuna tatizo kubwa sana la kiingereza

Nenda kwa rasta simba uanze hata kozi ya the na a 😂😂

Kiufupi hujui kiingereza mkuu
 
Hivi huwa mnalipwa bei gani kufuatilia mambo yasiyo wahusu...yaan unajiita mwanamume kamili unatenga muda wako kuanza kupekenyua mambo ambayo hayakuhusu..wenzako wanapiga pesa ndefu,je wewe na ukweli wako unakuigizia bei gani?

Sent from my HUAWEI CUN-L01 using JamiiForums mobile app
 
Wasted energy
 
Wewe ni mchawi
 
Nikadhani viewers wakununua/robotic viewers. Kumbe ni hesabu sahihi.

Youtube wanahesabu zao mkuu, kama huridhiki na hesabu za mondi, ridhika na hesabu za youtube kuhusu muda wa video.

NB: Mtoa mada naomba uniambie wiki mbili zina siku ngapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…