Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiin
Kiingereza chako kipo icu, hakika tz kuna tatizo kubwa sana la kiingereza
Nenda kwa rasta simba uanze hata kozi ya the na a
Hii tabia ya watanzania kutaka kila mtu ajue kiingereza inashika kasi. China na teknolojia yao yote kiingereza ni somo kama masomo mengine.kiin
Kiingereza chako kipo icu, hakika tz kuna tatizo kubwa sana la kiingereza
Nenda kwa rasta simba uanze hata kozi ya the na a [emoji23][emoji23]
Kiufupi hujui kiingereza mkuu
Ni bora mtu aongee kiswahili tu anaeleweka vizuri, mtu analazimisha kuongea asichojuaHii tabia ya watanzania kutaka kila mtu ajue kiingereza inashika kasi. China na teknolojia yao yote kiingereza ni somo kama masomo mengine.
nyie ndio mnamuamishaga ALIKIBA ANAJUA KULIKO DIAMOND. anywai pambana na hali yako mkuu, mwenzio anatengeneza fedhaHata nikikaa kimya kwajili ya utaifa au kuwa shabiki wa diamond, ukweli inabidi unyooke, nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi, hakuna kupindisha, nisipo sema nani atasema??
ukiingia mtandao >> huu << , utaweza kujua muda ilipopandishwa video, tunaona ya kwamba video iliwekwa tarehe 30, november saa sita na dakika 17 mchana.
View attachment 1644892
Kama video ilitoka tarehe 30 saa sita mchana basi siku ya saba iliisha jana tarehe 7 saa sita mchana
View attachment 1645006
Usiku wa kuamkia leo Tarehe 8 mida wa takribani saa sita na robo usiku, video iligonga views milioni 10 kwa hio, kulingana na jedwali la hapo juu ni siku ya nane
USHAURI:
Diamond Platnumz na media wasahishe taarifa zao ili kuendana na ukweli
angeongezea neno "takribani" sio kuandika kwa uhakika "ndani ya siku 7" wakati ni siku 8hesabu za approximation ulikimbia? mbona zipo form three na form four? Diamond yupo sahihi according to approximation
Wapo wanaoingiza pesa kwa umbea huu huu mkuu. Siku hizi mitandao ni kitega uchumi kizuri tu ilimradi unajua kutumia umbea vizuri.Hivi huwa mnalipwa bei gani kufuatilia mambo yasiyo wahusu...yaan unajiita mwanamume kamili unatenga muda wako kuanza kupekenyua mambo ambayo hayakuhusu..wenzako wanapiga pesa ndefu,je wewe na ukweli wako unakuigizia bei gani?
Sent from my HUAWEI CUN-L01 using JamiiForums mobile app
Enh ziwe 8 afurahi tu.Online channels zote ambazo zinaripoti karibia kila kitu kinachotokea mtandaoni wameandika siku saba,ila ww umeamua kubisha basi tufanya imetumia siku 8.
Wala haikuhusu.Haijalishi lolote, ili mradi kaingiza pesa who cares! hata angesema kagonga views milion 10 ndani ya siku 3 poa tu
Who cares . . .Wala haikuhusu.
Haya sasa tumekubali, views milioni 10 ndani ya Siku nane na sio Siku saba.Hata nikikaa kimya kwajili ya utaifa au kuwa shabiki wa diamond, ukweli inabidi unyooke, nyeupe iwe nyeupe na nyeusi iwe nyeusi, hakuna kupindisha, nisipo sema nani atasema??
ukiingia mtandao >> huu << , utaweza kujua muda ilipopandishwa video, tunaona ya kwamba video iliwekwa tarehe 30, november saa sita na dakika 17 mchana.
View attachment 1644892
Kama video ilitoka tarehe 30 saa sita mchana basi siku ya saba iliisha jana tarehe 7 saa sita mchana
View attachment 1645006
Usiku wa kuamkia leo Tarehe 8 mida wa takribani saa sita na robo usiku, video iligonga views milioni 10 kwa hio, kulingana na jedwali la hapo juu ni siku ya nane
USHAURI:
Diamond Platnumz na media wasahishe taarifa zao ili kuendana na ukweli