Hesabu hazidanganyi: Ni kwanini Diamond kadanganya kafikisha views milioni 10 ndani ya siku saba?

kiin

Kiingereza chako kipo icu, hakika tz kuna tatizo kubwa sana la kiingereza

Nenda kwa rasta simba uanze hata kozi ya the na a [emoji23][emoji23]

Kiufupi hujui kiingereza mkuu
Hii tabia ya watanzania kutaka kila mtu ajue kiingereza inashika kasi. China na teknolojia yao yote kiingereza ni somo kama masomo mengine.
 
Hii tabia ya watanzania kutaka kila mtu ajue kiingereza inashika kasi. China na teknolojia yao yote kiingereza ni somo kama masomo mengine.
Ni bora mtu aongee kiswahili tu anaeleweka vizuri, mtu analazimisha kuongea asichojua
 
nyie ndio mnamuamishaga ALIKIBA ANAJUA KULIKO DIAMOND. anywai pambana na hali yako mkuu, mwenzio anatengeneza fedha
 
hesabu za approximation ulikimbia? mbona zipo form three na form four? Diamond yupo sahihi according to approximation
 
hesabu za approximation ulikimbia? mbona zipo form three na form four? Diamond yupo sahihi according to approximation
angeongezea neno "takribani" sio kuandika kwa uhakika "ndani ya siku 7" wakati ni siku 8
 
Wapo
Wapo wanaoingiza pesa kwa umbea huu huu mkuu. Siku hizi mitandao ni kitega uchumi kizuri tu ilimradi unajua kutumia umbea vizuri.
 
Haya sasa tumekubali, views milioni 10 ndani ya Siku nane na sio Siku saba.
 
Shida sio sisi tunahesabu au yeye ukingia pale unaona je wewe mi nikifatilia naona siku ya ngapi (muda)na idadi


Acha wivu
 
duuh nimekuja mbio nikidhani ni bonge la uzi kumbe hola
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…