MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?
2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?
3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?
4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?
5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?
6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?
7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?
Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.
Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?
3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?
4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?
5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?
6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?
7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?
Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.
Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.