Hesabu hii ndiyo inawaumiza Vichwa wa Magogoni na Chamwino na wale wa Kisutu na Lumumba kuhusu Gaidi wa Kusingiziwa

Hesabu hii ndiyo inawaumiza Vichwa wa Magogoni na Chamwino na wale wa Kisutu na Lumumba kuhusu Gaidi wa Kusingiziwa

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?

2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?

3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?

4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?

5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?

6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?

7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?

Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.

Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
 
Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?
Malori na matisheti za hawa jamaa huwa ni geresha tu. Wanaopiga kura wanajulikana ni watu wa.......
 
Hayati Nelson Mandela pia aliitwa GAIDI.
giphy (5).gif
 
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?

2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?

3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?

4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?

5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?

6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?

7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?

Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.

Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
Mkuu mambo ya Ukraine yamefikaje hapa? Pia don't take Ukraine issue as a joke unless you are so called "Mnyonge".
 
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?

2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?

3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?

4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?

5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?

6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?

7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?

Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.

Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
Umejitahidi kuchambua kisayansi,kwenye siasa haya yote yanawesekana.....tatizo miaka hii CCM inaongizwa Kwa kutumia Moyo!
 
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?

2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?

3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?

4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?

5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?

6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?

7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?

Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.

Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
Huyu Mzanzibari hana sifa ya kuwa rais wa nchi kama Tanzania tatizo ni katiba mbovu inayo tupa viongozi wabovu. Kati ya viongozi wa juu wa sasa, yaani ssh, ntibazonkiza majaliwa hakuna presidential material, wote wababaishaji
 
Atashindwa kesi kama mtoa hukumu ni Maza.
Mawakili 500 + mitandao + jumuia ya ulaya + maaskofu wasio na makanisa + maprofessa wastaafu + mitandao BADO Mbowe akakutwa na kesi ya kujibu halafu mnakuja kutuigia ngojera hapa.
 
Huyu Mzanzibari hana sifa ya kuwa rais wa nchi kama Tanzania tatizo ni katiba mbovu inayo tupa viongozi wabovu. Kati ya viongozi wa juu wa sasa, yaani ssh, ntibazonkiza majaliwa hakuna presidential material, wote wababaishaji
sijui u miongoni mwa hawa
1645809180458.png
 
Mkakati ni kumfunga Cheaman kwa ugaidi halafu team Msajili akifute chama kwa ugaidi wa chea.

Wazalendo Pati kuwa chama kikuukuu cha upemzani.

Hii ndo turufu ya kijani kuendelea kutawala wadanganyika
 
Back
Top Bottom