Hesabu hii ndiyo inawaumiza Vichwa wa Magogoni na Chamwino na wale wa Kisutu na Lumumba kuhusu Gaidi wa Kusingiziwa

Hesabu hii ndiyo inawaumiza Vichwa wa Magogoni na Chamwino na wale wa Kisutu na Lumumba kuhusu Gaidi wa Kusingiziwa

1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?

2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?

3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?

4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?

5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?

6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?

7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?

Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.

Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
Hizi Ni Amri chonganishi
 
..walitegemea kesi imepikwa vizuri na kwamba Mbowe atachafuka.

..badala yake wananchi wanaelekea kutokuamini chochote kile kinachosemwa na mashahidi wa polisi / jamhuri.
Hakuna wakumwamini polis hapo,polis wameua mtwara, polis hawasemi Kwa Nini Hamza aliwapiga risasi,polis wamekutwa na pesa za rushwa kwenye gari,Sasa nani atakaye waamini?
 
Kule avator ya Putin huku ya Biden bado Zelensky tu hapo.

Kaazi kwel kwel lakini yote maisha.
 
Tanzania hamna upinzani kuna wahuni tu
Hakuna kitu watawala huchukia kama upizani hasa wanapodai haki na uhuru
Nyerere alihukumiwa
Kenyatta alihukumiwa
Mandela alihukumiwa
Mugabe alihukumiwa
Walidai haki na uhuru na mahakama zikawakuta na hatia .
Sasa mahakama humtumikia nani hasa, mwananchi au state?
Kwa watawala kusema wapinzani wahuni au magaidi kwao ni sawa tu wasemeje na huku hawapendi upinzani hasa wanapokuwa na nguvu
 
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?

2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?

3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?

4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?

5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?

6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?

7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?

Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.

Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
Mbali ya yote uliyosema, bado kumwachia ni turufu kuliko kumfunga Mtu ambaye DUNIA nzima inajua Hana hatia.
 
Mawakili 500 + mitandao + jumuia ya ulaya + maaskofu wasio na makanisa + maprofessa wastaafu + mitandao BADO Mbowe akakutwa na kesi ya kujibu halafu mnakuja kutuigia ngojera hapa.
Haki yatakiwa PIA ionekane inatendeka
 
Mkakati ni kumfunga Cheaman kwa ugaidi halafu team Msajili akifute chama kwa ugaidi wa chea.

Wazalendo Pati kuwa chama kikuukuu cha upemzani.

Hii ndo turufu ya kijani kuendelea kutawala wadanganyika
Wanaota ndoto kama za mwendazake aliyekuwa anaota kuwa atabadili katiba atawale mikele
 
Wanaota ndoto kama za mwendazake aliyekuwa anaota kuwa atabadili katiba atawale mikele
Wamedhamiria na wanatekeleza msidharau


Mwendazake ni kudra za Maulana zilimwondoa la sivyo kondoo tungeswagwa nyikani
 
1. Je, akiachiwa hatosababisha HATARI ya Kiusalama?

2. Je, akiachiwa hatotumika na Maadui wa Mzanzibari Kumdhoofisha Kisiasa?

3. Je, akiachiwa hawezi kutumia kuwepo Kwake Lupango kama Turufu ya kutuomba Watanzania tumpe nchi 2025?

4. Je, akiachiwa sasa Chama chake hakitokuwa kimepata Agenda ya Kimkakati ya Kummaliza Mzanzibari katika Medani ya Kisiasa hasa kuelekea 2025?

5. Je, akiachiwa sasa hawezi Kutoroka nchi na Kuomba Ukimbizi kwa Mataifa ya Kibeberu yenye Hasira ya Kiuchumi nasi baada ya kutuona tunashirikiana mno na Wachina ( China ) Kisha akawa sasa anamchafua Mzanzibari na Watu wake Kiutendaji?

6. Je, akiachiwa sasa Watanzania wengi ( hata kutoka Chamani Lumumba ) wanaomuonea / waliomuonea Huruma hawatopenda Kumjenga zaidi Kisiasa na Kipropaganda ili 2025 apishwe na Mzanzibari?

7. Je, akiachiwa sasa hawezi Kujitoa Mhanga kuwa liwalo na liwe na hata kama akiwahishwa Udongoni Kilimanjaro na Maadui zake ila Kwanza atahakkisha kuwa ameshatoa Siri nyingi za huko aliko, aliyoyasikia, aliyo na uhakika nayo na anayoyajua ambayo huenda 90% ya Watanzania hatuyajui na huenda tukiyajua basi iwe isiwe hiyo 2025 hata kama tutahongwa Khanga, Kofia, T-shirts, Boksa, Chupi, Lifti za Malori Mabovu ( Mkangafu ) na Pesa tutawaondoa rasmi wa Lumumba ( walio chini ya Mzanzibari ) na Kumkaribisha ama Mchagga wa Kilimanjaro au Mnyaturu wa Singida?

Binafsi nahisi kama ni Kumuachia basi labda ni kuanzia mwaka 2026 na kuanzia sasa ni mwendo tu wa Kurusha Kesi yake just to buy time kisha 2022 hii au 2023 ahukumiwe miaka Mitatu na aikose 2025 ambayo Mzanzibari anaitaka kwa Udi na Uvumba ili nae kama Mbeijing aweke Rekodi yake tofauti na sasa ambapo Kikatiba yuko kama Deiwaka tu japo kuna Wapuuzi wengi watalikataa / watalibishia.

Mtakaokereka na Uzi Kafeni Ukraine.
Naona insider umepata kona ya kuspinn kama ikivyofanyika kwa Muungwana[emoji1787]
 
Malori na matisheti za hawa jamaa huwa ni geresha tu. Wanaopiga kura wanajulikana ni watu wa.......
2020 election pale nyumbu project walikusanywa askari wakaenda kufungiwa sehemu wakapiga kura zikasafirishwa kwenye ma box kupelekwa Mbeya, tunduma, iringa, Hai, Arusha mjini, Tarime, Kawe, Ubungo, Segerea.

Walikuwa ni askari zaidi ya 100. Na walifanya hiyo kazi bila malipo na wamedai mpaka leo hawajalipwa.
 
Back
Top Bottom