Hesabu hii ndiyo inawaumiza Vichwa wa Magogoni na Chamwino na wale wa Kisutu na Lumumba kuhusu Gaidi wa Kusingiziwa

Hizi Ni Amri chonganishi
 
..walitegemea kesi imepikwa vizuri na kwamba Mbowe atachafuka.

..badala yake wananchi wanaelekea kutokuamini chochote kile kinachosemwa na mashahidi wa polisi / jamhuri.
Hakuna wakumwamini polis hapo,polis wameua mtwara, polis hawasemi Kwa Nini Hamza aliwapiga risasi,polis wamekutwa na pesa za rushwa kwenye gari,Sasa nani atakaye waamini?
 
Kule avator ya Putin huku ya Biden bado Zelensky tu hapo.

Kaazi kwel kwel lakini yote maisha.
 
Tanzania hamna upinzani kuna wahuni tu
Hakuna kitu watawala huchukia kama upizani hasa wanapodai haki na uhuru
Nyerere alihukumiwa
Kenyatta alihukumiwa
Mandela alihukumiwa
Mugabe alihukumiwa
Walidai haki na uhuru na mahakama zikawakuta na hatia .
Sasa mahakama humtumikia nani hasa, mwananchi au state?
Kwa watawala kusema wapinzani wahuni au magaidi kwao ni sawa tu wasemeje na huku hawapendi upinzani hasa wanapokuwa na nguvu
 
Mbali ya yote uliyosema, bado kumwachia ni turufu kuliko kumfunga Mtu ambaye DUNIA nzima inajua Hana hatia.
 
Mawakili 500 + mitandao + jumuia ya ulaya + maaskofu wasio na makanisa + maprofessa wastaafu + mitandao BADO Mbowe akakutwa na kesi ya kujibu halafu mnakuja kutuigia ngojera hapa.
Haki yatakiwa PIA ionekane inatendeka
 
Mkakati ni kumfunga Cheaman kwa ugaidi halafu team Msajili akifute chama kwa ugaidi wa chea.

Wazalendo Pati kuwa chama kikuukuu cha upemzani.

Hii ndo turufu ya kijani kuendelea kutawala wadanganyika
Wanaota ndoto kama za mwendazake aliyekuwa anaota kuwa atabadili katiba atawale mikele
 
Wanaota ndoto kama za mwendazake aliyekuwa anaota kuwa atabadili katiba atawale mikele
Wamedhamiria na wanatekeleza msidharau


Mwendazake ni kudra za Maulana zilimwondoa la sivyo kondoo tungeswagwa nyikani
 
Naona insider umepata kona ya kuspinn kama ikivyofanyika kwa Muungwana[emoji1787]
 
Malori na matisheti za hawa jamaa huwa ni geresha tu. Wanaopiga kura wanajulikana ni watu wa.......
2020 election pale nyumbu project walikusanywa askari wakaenda kufungiwa sehemu wakapiga kura zikasafirishwa kwenye ma box kupelekwa Mbeya, tunduma, iringa, Hai, Arusha mjini, Tarime, Kawe, Ubungo, Segerea.

Walikuwa ni askari zaidi ya 100. Na walifanya hiyo kazi bila malipo na wamedai mpaka leo hawajalipwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…