Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

Hesabu kufuzu: Nashauri wana Yanga watembee na Scientific Calculator

OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
53,868
Reaction score
121,001
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
 
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Nikirudi kuchangia maada Yanga anahitaji kushinda tu mechi zake bila kujali nani anafanya nini, bila shaka nyie ndio mlikuwepo kwenye mkutano wa Mzee Rage na siku analetwa Manzoki kwenye uchaguzi
 
Naona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga

Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
Na sio scientific calculator tu. Inabidi iyo scientific iwe inachora mpaka graph na kusolve probability.😁
 
Mpira wa miguu huwa na maajabu

Tusishangae Yanga akashinda mechi zake zote mbili zilizobaki (Japo kumfunga Mwarabu kwao sitegemei likitokea)
 
Back
Top Bottom