ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Nikikuita mbumbumbu nitakua nmekosea?Huyu si aliwabandua kwa mkapa akachukua kombe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikikuita mbumbumbu nitakua nmekosea?Huyu si aliwabandua kwa mkapa akachukua kombe
Inasikitisha sana ndugu yangu.Mpira umeimgiliwà na wa Mama goli mbili za nini?
Sahihi kabisa ndugu Mwasibu. Na hata siku ile nilipoona tu umekuja na huu uzi wako, nilisema wazi Yanga itaendelea hatua inayofuata.Nimeidharau au nilishauri unitumie? Si unaona inawafaa
Usisahau kuni tag😂😂Nina Uzi mwingine wa Mwasibu nimeuhifadhi nasubiri Yanga afuzu tu.
Hahahaaa. Utanita tuje tumsakame tosha yake. 🤣🤣🤣
Pole kwa sijui ndo Ban ile mana hata sikuielewa ndugu?
Tushaanza kuunyemelea huu uzi 😂Kesho na kesho kutwa tukija kujaa kwenye huu uzi usikimbie.
Tunaachaje Swahiba. 😅Tushaanza kuunyemelea huu uzi 😂
Nipo Mwasibu hapa tunaangalia uwezekano upate life ban🤣🤣🤣🤣
Ni KIHASIBU au?Nashauri mashabiki watembee na Calculator
Sawa mshangazi wa maanaMpira umeimgiliwà na wa Mama goli mbili za nini?
Ha ha haNaona mahesabu ya Yanga yanachanganya sana katika mchakato wa kuingia robo. Hesabu zinakuwa ngumu kwa sababu sio wewe tu ushindwe inabidi na mwingine ashindwe, mara hivi na vile. Mara inabidi MC Algers ifungwe na Mazembe lakini wasiifunge Yanga
Nashauri mashabiki watembee na Calculator, sio ile ya Mangi bali ni Scientific Calculator kwa sababu hesabu zao zinahitaji matumizi ya Calculalus na Magazijuto
rudi darasani,kapekue makaratasi,uangalie mwaka juzi yanga alicheza final na timu gani.Yanga mwenyewe uwezekano wa kumfunga MC Algiers kwa mkapa ni mdogo , mwaka juzi si alikula mbili bila